Wapi naweza kusoma AUTOCAD Dar es Salaam ?

Wapi naweza kusoma AUTOCAD Dar es Salaam ?

SaaMbovu

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
6,028
Reaction score
5,355
Habari. Nataka kusoma hiyo course ya AUTOCAD. Kwa sasa nipo Dar es Salaam. Wapi wanafundisha.

Naombeni mwenye kujua anijulishe.

Ahsante.
 
Njoo Arusha kuna jamaa anafundisha kwenye jengo la ACU
 
Habari. Nataka kusoma hiyo course ya AUTOCAD. Kwa sasa nipo Dar es Salaam. Wapi wanafundisha.
Naombeni mwenye kujua anijulishe.
Ahsante.
A

Auto CAD inadiscipline zake kama electrical, mechanical, civil& architecture nk na basics zake sasa sio kuvamia tu kama unayafahamu hayo nakutakia kilaraheli mkuu
 
Pia kama una access nzuri ya mtandao unaweza kujifunza kupitia site nyingi tu. Kuna video tutorial za kutosha mtandaoni
 
A

Auto CAD inadiscipline zake kama electrical, mechanical, civil& architecture nk na basics zake sasa sio kuvamia tu kama unayafahamu hayo nakutakia kilaraheli mkuu

Nafahamu
 
Kwa hapa dar kama ni mwenyeji nenda pale hindu mandal hospital, fuata hiyo njia kama unaizunguka hospital utafika kwenye jengo moja kubwa jipya hapox 2 utaona wamekuandikia tangazo la course ya Autocad
 
mkuu kuna watu wanaitwa KISUMO hawa ni suppllier wa auto desk tanzania, you can go to their website
 
Kwa hapa dar kama ni mwenyeji nenda pale hindu mandal hospital, fuata hiyo njia kama unaizunguka hospital utafika kwenye jengo moja kubwa jipya hapox 2 utaona wamekuandikia tangazo la course ya Autocad

Mkuu nimefika kama ulivyo nielekeza. Ahsante sana.
 
Habari. Nataka kusoma hiyo course ya AUTOCAD. Kwa sasa nipo Dar es Salaam. Wapi wanafundisha.
Naombeni mwenye kujua anijulishe.
Ahsante.
ardhi university walikua wanatoa haya mafunzo na nna imani mpaka leo wanatoa, nakushauri tembelea website yao uangalie...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom