2018 ni mwaka jike au dume ?Jinsia pls?
Jike2018 ni mwaka jike au dume ?
Basi mleta mada ni femaleJike
ama aende Savoi..sijui kama bado papoMbeya na Pizza wapi na wapi? Nenda Vamponji kale kitimoto na ndizi
Usungilo pale mkuu....bei ni cheap kidogo inarange kwenye 15k kwa medium ileWakuu wa wakuu;
Wapi naweza kupata pizza kwa mbeya mjini hapa.
Na Bei je inaanzia shingapi
Maana naishia kuziona tuu kwenye picha
Sasa wacha nionje na Mimi.
Mbele ya ujenzi kama unaenda mjini/Sokomatola..katisha njia inayopita nyuma ya Sokoine stadium inayoenda Uhindini..Wakuu wa wakuu;
Wapi naweza kupata pizza kwa mbeya mjini hapa.
Na Bei je inaanzia shingapi
Maana naishia kuziona tuu kwenye picha
Sasa wacha nionje na Mimi.
eti akale mbaraga tu mbeya mambo ya piza tena ni MTU na mkwe wakeMbeya na Pizza wapi na wapi? Nenda Vamponji kale kitimoto na ndizi
vyakula vingine ni mbwembwe tu hata roho haisuuziki......umagharibi umetutawala sanaVykula vingine viwe by the way tu jaman!bora hata ungeuliza hata wapi ntapata dona safi na mbuzi (jokes)
vyakula vingine ni mbwembwe tu hata roho haisuuziki......umagharibi umetutawala sana