Wapi naweza kupata pizza kwa Mbeya mjini

2018

JF-Expert Member
Jan 1, 2018
546
778
Wakuu wa wakuu;

Wapi naweza kupata pizza kwa mbeya mjini hapa.
Na Bei je inaanzia shingapi
Maana naishia kuziona tuu kwenye picha
Sasa wacha nionje na Mimi.
 
Wakuu wa wakuu;

Wapi naweza kupata pizza kwa mbeya mjini hapa.
Na Bei je inaanzia shingapi
Maana naishia kuziona tuu kwenye picha
Sasa wacha nionje na Mimi.
Usungilo pale mkuu....bei ni cheap kidogo inarange kwenye 15k kwa medium ile
 
Wakuu wa wakuu;

Wapi naweza kupata pizza kwa mbeya mjini hapa.
Na Bei je inaanzia shingapi
Maana naishia kuziona tuu kwenye picha
Sasa wacha nionje na Mimi.
Mbele ya ujenzi kama unaenda mjini/Sokomatola..katisha njia inayopita nyuma ya Sokoine stadium inayoenda Uhindini..
Unavokata kona tu utaona Restaurant...
 
Back
Top Bottom