Wapi naweza kupata mkopo kausha damu

Status
Not open for further replies.
Mwanamke hapendezi kuchangia changamoto za kiuchumi za mwanaume, mwanamke ukiwa na shida na pesa kupata unaamua mwenyewe tu kitonga.

Uzi huu wamkandie mtoa mada wanaume tu
Angeandika kwa wanaume tu
 
Laki mbona sio kubwa? Huna ndugu au rafiki wa karibu akuazime?

Wafanyakazi wenzio?

Simu unayotumia haifai kuuza ili ukatatua shida zako kwa muda?
Akiuza simu akipata shida nyingine atauza nini?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…