Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,481
- 65,794
Hapana nani atakuja nitoa jela?Acha uoga
Hapana nani atakuja nitoa jela?Acha uoga
Nenda EFL wako Sinza. Au njoo nikupeleke.Wadau habari,
Hali imekuwa mbaya kiuchumi nimepata emergency, wapi naweza kupata wanaokopesha hao wanaita kausha damu nikope kwa riba hadi mwisho wa mwezi tu.
Wezi wamenikombea vitu ndani nimebaki mweupe, hata mtu binafsi kama anaweza kunisaidia.
Asanteni, nipo Dar.
Wale wanaokupigia simu alfajiri kabla ya tarehe ya malipo?Wakopeshaji wanapiga simu kama vichaa
![]()
Laki ingekuwa ndogo maslay quuen wasingekuwa wanaliwa uroda kwa dau la 50,000/=Hii kauli watu wengi wanaipenda sana, kwamba uza simu unayotumia upate hela. Guys maisha tuliyopo sasa, simu inanafasi kubwa ya kukuingizia hela kuliko elimu mtu aliyosomea. So kuliko kumpa mtu simple answers, ni heri mkaupita Uzi kimya kimya.
Laki yawezekana ukaiona ndogo sana, lakini ni kubwa kuliko unavyofikiria
Unakunywa pombe?Hapo kwenye bondi ndio changamoto maana wamenikombea hadi vile vichache nilivyokuwa navyo, ila ni muajiriwa na mtu anaweza kuja hadi ninapofanyia kazi na nikampa na vithibitisho vingine.
Kiasi ni laki 1 tu, riba ataniambia yeye. Narudisha tar 25
Kweli aisee 😅Laki ingekuwa ndogo maslay quuen wasingekuwa wanaliwa uroda kwa dau la 50,000/=
Laki iheshimiwe jamani, si swala dogo kihivyo.
BRACNaomba maelekezo namna ya kuwapata
Mkuu Nadhani umemaanisha BRAC sio black
Wakopeshaji wanapiga simu kama vichaa
![]()











Kung'oa jino ni suluhisho ya jino kupona?Laki mbona sio kubwa? Huna ndugu au rafiki wa karibu akuazime?
Wafanyakazi wenzio?
Simu unayotumia haifai kuuza ili ukatatua shida zako kwa muda?
Unaweza kuta hayupo friendly na wenzakeLaki moja umekosa wa kukopa hapo ofisini wala mtaani pako? Wewe ni tapeli au mdhulumaji
Sasa ukinunua si wataiba Tena? Ni dar sehemu Gani?Wadau habari,
Hali imekuwa mbaya kiuchumi nimepata emergency, wapi naweza kupata wanaokopesha hao wanaita kausha damu nikope kwa riba hadi mwisho wa mwezi tu.
Wezi wamenikombea vitu ndani nimebaki mweupe, hata mtu binafsi kama anaweza kunisaidia.
Asanteni, nipo Dar.
Yaaani kwavile wewe ni Mwl basi huwa unafikiri watu wote ni walimu... Embu toka huko kijijini ufunguke akili...Wewe ni mwalimu??
Hana hata ndugu kweli au marafiki??? Hadi kuja kuomba humu kwa watu asiowafahamu hata kwa majina yaoKung'oa jino ni suluhisho ya jino kupona?
Wapi nimekuomba hela? Mimi nimeuliza taasisi zinazotoa mikopo. Kama ingekuwa ni kosa kuchukua mkopo basi hizo sehemu zisingekuwepo, kila mtu angekuwa akipata changamoto anaomba kwa marafiki kama unavyosema.Hana hata ndugu kweli au marafiki??? Hadi kuja kuomba humu kwa watu asiowafahamu hata kwa majina yao
Anaishi community gani asione hata financial services? Nikimpa suluhisho lililopo mkoa/nchini kwangu atafikaje na yupo huko
Mwanamke hapendezi kuchangia changamoto za kiuchumi za mwanaume, mwanamke ukiwa na shida na pesa kupata unaamua mwenyewe tu kitonga.Hana hata ndugu kweli au marafiki??? Hadi kuja kuomba humu kwa watu asiowafahamu hata kwa majina yao
Anaishi community gani asione hata financial services? Nikimpa suluhisho lililopo mkoa/nchini kwangu atafikaje na yupo huko