Shetta
JF-Expert Member
- Mar 15, 2023
- 445
- 798
Sijaelewa hapo kwenye black ipo
Black ni taasisi nayo wanatoa mikopo wako nchi nzima
Sijaelewa hapo kwenye black ipo
Naomba maelekezo namna ya kuwapataBlack ni taasisi nayo wanatoa mikopo wako nchi nzima
Pole sana rafiki , kweli laki moja unadharirika hivi na wote hakuna anayekusaidia ?Wadau habari,
Hali imekuwa mbaya kiuchumi nimepata emergency, wapi naweza kupata wanaokopesha hao wanaita kausha damu nikope kwa riba hadi mwisho wa mwezi tu.
Wezi wamenikombea vitu ndani nimebaki mweupe, hata mtu binafsi kama anaweza kunisaidia.
Asanteni, nipo dar.
Hii kauli watu wengi wanaipenda sana, kwamba uza simu unayotumia upate hela. Guys maisha tuliyopo sasa, simu inanafasi kubwa ya kukuingizia hela kuliko elimu mtu aliyosomea. So kuliko kumpa mtu simple answers, ni heri mkaupita Uzi kimya kimya.Laki mbona sio kubwa? Huna ndugu au rafiki wa karibu akuazime?
Wafanyakazi wenzio?
Simu unayotumia haifai kuuza ili ukatatua shida zako kwa muda?
Kimfaacho mtu chake.......hadi amefikia hatua ya kuleta uzi hapa means ameshindwa kutumia hiyo simu yake kupata pesa....unless simu yake ni chakavu haiuzikiHii kauli watu wengi wanaipenda sana, kwamba uza simu unayotumia upate hela. Guys maisha tuliyopo sasa, simu inanafasi kubwa ya kukuingizia hela kuliko elimu mtu aliyosomea. So kuliko kumpa mtu simple answers, ni heri mkaupita Uzi kimya kimya.
Laki yawezekana ukaiona ndogo sana, lakini ni kubwa kuliko unavyofikiria
Mkuu Nadhani umemaanisha BRAC sio blackBlack ipo wanakupa hela chap
Vigezo na mashart kuzingatiwa
Picha ya ndani waliko kuibia tuoneWadau habari,
Hali imekuwa mbaya kiuchumi nimepata emergency, wapi naweza kupata wanaokopesha hao wanaita kausha damu nikope kwa riba hadi mwisho wa mwezi tu.
Wezi wamenikombea vitu ndani nimebaki mweupe, hata mtu binafsi kama anaweza kunisaidia.
Asanteni, nipo Dar.
Sure mzee niliuzaga simu ili nianzishe biashara ya vitenge nikatapeliwa na mtu iliniuma sanaHii kauli watu wengi wanaipenda sana, kwamba uza simu unayotumia upate hela. Guys maisha tuliyopo sasa, simu inanafasi kubwa ya kukuingizia hela kuliko elimu mtu aliyosomea. So kuliko kumpa mtu simple answers, ni heri mkaupita Uzi kimya kimya.
Laki yawezekana ukaiona ndogo sana, lakini ni kubwa kuliko unavyofikiria
Mpaka anafikia hatua ya kuazima hela kwa strangers, means hiyo option unayoisema alishaiona.....let's assume simu inampa deals za kila siku, na kumuwezesha kuingiza hela ndogo ndogo, lakini haiwezi kumpa laki ya mkupuo or else ni chakavu sana haiwezi kuuzikaKimfaacho mtu chake.......hadi amefikia hatua ya kuleta uzi hapa means ameshindwa kutumia hiyo simu yake kupata pesa....unless simu yake ni chakavu haiuziki
Sasa na wewe unaanzaje kuuza vitenge?Sure mzee niliuzaga simu ili nianzishe biashara ya vitenge nikatapeliwa na mtu iliniuma sana
Tatizo ni kwamba, we are judging others based on our standards, and not their standards.Laki moja umekosa wa kukopa hapo ofisini wala mtaani pako? Wewe ni tapeli au mdhulumaji
Dah katika utafutaji mkuu wewe chagua kazi kama unapo ppakufiaSasa na wewe unaanzaje kuuza vitenge?
Sasa ndio uuve vitenge? 😅Dah katika utafutaji mkuu wewe chagua kazi kama unapo ppakufia
Ulitaka niuze nini?Sasa ndio uuve vitenge? 😅
BangeUlitaka niuze nini?
Hapana kwakweli najipenda kabisaBange
Acha uogaHapana kwakweli najipenda kabisa