Deleted_account
JF-Expert Member
- Nov 1, 2008
- 3,385
- 3,702
Wadau habari,
Hali imekuwa mbaya kiuchumi nimepata emergency, wapi naweza kupata wanaokopesha hao wanaita kausha damu nikope kwa riba hadi mwisho wa mwezi tu.
Wezi wamenikombea vitu ndani nimebaki mweupe, hata mtu binafsi kama anaweza kunisaidia.
Asanteni, nipo Dar.
Hali imekuwa mbaya kiuchumi nimepata emergency, wapi naweza kupata wanaokopesha hao wanaita kausha damu nikope kwa riba hadi mwisho wa mwezi tu.
Wezi wamenikombea vitu ndani nimebaki mweupe, hata mtu binafsi kama anaweza kunisaidia.
Asanteni, nipo Dar.
