Jamaa yangu sisi sio kama wewe mpenda mteremko, umeenda ulaya kufuata mteremko na kufaidi matunda ya mababu wa wenzio kudadeki, njoo huku tuwajengee wajukuu taifa na sio kutegemea mteremko..
Unakaa ulaya unaungaunga tu umri unaenda, wenzio tunalima maharage huku na kuuza huko huko ulaya tunaajili mpaka hao wazungu unaowapigia deki huko..