shamajengo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,217
- 1,431
Habari zenu wanajf wenzangu, ashukuriwe Mungu kwa kutujalia uzima siku ya leo, tukumbuke kuwaombea wale waliopo mahospitali na majumbani kwa maradhi mbalimbali wakaweze kupona. Lakini tuwaombee wapumzike kwa amani wale ambao Mungu amewatwaa Siku ya leo nasi tuseme amina.
Wakuu ninashida ya ngozi nimeenda hospital mara kadhaa ila bado tatizo haliishi huku majibu yakiwa hayaonyeshi tatizo zaidi ya kupewa anti allergy plus anti fungal.
Yapata miezi mitano na zaidi sasa vinanitokea vipele sehemu za mikononi hasa kati ya vidole vinawasha nikikamua vinatoa maji na hapo hupungua kuwasha kama siyo kuacha kabisa.
Lakini sehemu za mapaja na scrotum pia navyo ni hivyohivyo nimetumia dawa tofauti tofauti za fangus bado sipati majibu.
Kama kunayeyote mwenye kujua juu ya shida hii anisaidie au anifanyie msaada wa kujua wapi nitapata specialist wa ngozi ili nikapate Tiba....natanguliza shukrani
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wakuu ninashida ya ngozi nimeenda hospital mara kadhaa ila bado tatizo haliishi huku majibu yakiwa hayaonyeshi tatizo zaidi ya kupewa anti allergy plus anti fungal.
Yapata miezi mitano na zaidi sasa vinanitokea vipele sehemu za mikononi hasa kati ya vidole vinawasha nikikamua vinatoa maji na hapo hupungua kuwasha kama siyo kuacha kabisa.
Lakini sehemu za mapaja na scrotum pia navyo ni hivyohivyo nimetumia dawa tofauti tofauti za fangus bado sipati majibu.
Kama kunayeyote mwenye kujua juu ya shida hii anisaidie au anifanyie msaada wa kujua wapi nitapata specialist wa ngozi ili nikapate Tiba....natanguliza shukrani
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app