Wapi Mama Mingoi????

eddiejohnie

Member
Joined
Jan 3, 2011
Posts
7
Reaction score
3

...ilikuwa kila rap ya Twanga Pepeta jina lake linatajwa,ila sijui kapotelea wapi siku hizi!!
 


Kesha jichokea kiuno kiguuuuuuuumu
 
hata mimi sielewi. Hivi tuambieni wana Jf kuna yoyote mwenye stori za huyu mama?
 
Alikuwa wa kawaida sana sema tuu alikuwa jasiri kujitokeza hadharani na kufanya hiyo kazi maana kuna vitu vya ukweli vilikuwa mitaani vimetulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…