Wapi kwa Dar naweza kupata supplier wa vitu vinavyochanganywa kwenye vyakula vya mifugo

Wapi kwa Dar naweza kupata supplier wa vitu vinavyochanganywa kwenye vyakula vya mifugo

Mbalizi feedstuff

Senior Member
Joined
Feb 23, 2025
Posts
188
Reaction score
200
Wakuu ninauliza kama kuna yeyote anaifahamu kampuni au mtu anayetoa huduma ya kuuza vitu ambavyo vinekwisha tengenezwa ili viweze kuchanganywa kwenye vyakula vya mifugo.Vitu ambavyo ninavihitaji ni kama ifuatavyo
Lysine

Methionine

Layer concentrate

Broiler concentrate

Limestone

Unga wa mifupa

Mineral vitamin premix

Damu iliyokaushwa

Dcp na vinginevyo
kila kimoja kiwe kwenye mfuko wa 25kg
 
Wakuu ninauliza kama kuna yeyote anaifahamu kampuni au mtu anayetoa huduma ya kuuza vitu ambavyo vinekwisha tengenezwa ili viweze kuchanganywa kwenye vyakula vya mifugo.Vitu ambavyo ninavihitaji ni kama ifuatavyo
Lysine

Methionine

Layer concentrate

Broiler concentrate

Limestone

Unga wa mifupa

Mineral vitamin premix

Damu iliyokaushwa

Dcp na vinginevyo
kila kimoja kiwe kwenye mfuko wa 25kg
Kuna watu wanaitwa IRVINE wako Nyerere road maeneo ya vingunguti karibu na SBC(PEPSI)
 
Wakuu ninauliza kama kuna yeyote anaifahamu kampuni au mtu anayetoa huduma ya kuuza vitu ambavyo vinekwisha tengenezwa ili viweze kuchanganywa kwenye vyakula vya mifugo.Vitu ambavyo ninavihitaji ni kama ifuatavyo
Lysine

Methionine

Layer concentrate

Broiler concentrate

Limestone

Unga wa mifupa

Mineral vitamin premix

Damu iliyokaushwa

Dcp na vinginevyo
kila kimoja kiwe kwenye mfuko wa 25kg
Nenda oilcom Ubungo karibu daraja fly over....
 
Damu iliyokauka kwa wingi nenda vingungut machinjion
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom