mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 851
- 667
Ninajua chimbo la maturubai bei ya jumla ukiyahitaji niambieWana bodi habari, kama mjuavyo tuko mbioni kuelekea ktk mavuno ya nafaka mbalimbali, mwaka jana nilijaribu kuhifadhi mahindi ktk viroba vya kunga njaa! ilikua ni viroba viwili tu kwa ajili ya chakula cha familia, mahindi yale nimetafungua mwaka huu na huwezi amini yapo vzr hayajashambuliwa na wadudu.
Baada ya matokeo hayo nimepata wazo la kuhifadhi kwa uwingi zaidi ili nije nipige hela baadae.
Hoja yangu ni kutaka kujua lilipo chimbo la viroba hv vya kinga njaa ili kusudi nivihifadhi mapema.
Ahsanteni.
Nisaidie kulijua Hilo chimbo la maturubai lipo sehemu gani mkuuNinajua chimbo la maturubai bei ya jumla ukiyahitaji niambie
Wewe hupo mkoa na wilaya ganiWana bodi habari, kama mjuavyo tuko mbioni kuelekea ktk mavuno ya nafaka mbalimbali, mwaka jana nilijaribu kuhifadhi mahindi ktk viroba vya kunga njaa! ilikua ni viroba viwili tu kwa ajili ya chakula cha familia, mahindi yale nimetafungua mwaka huu na huwezi amini yapo vzr hayajashambuliwa na wadudu. Baada ya matokeo hayo nimepata wazo la kuhifadhi kwa uwingi zaidi ili nije nipige hela baadae.
Hoja yangu ni kutaka kujua lilipo chimbo la viroba hv vya kinga njaa ili kusudi nivihifadhi mapema.
Ahsanteni.
Nipo MbeyaWewe hupo mkoa na wilaya gani
Kama unajua kwa nn usiweke hapa ili kila mdau aone? au unataka aje in box!?Ninajua chimbo la maturubai bei ya jumla ukiyahitaji niambie
Ni roho mbaya tu inamsumbua huyo na nia ya utapeli kuvutia watu inboxKama unajua kwa nn usiweke hapa ili kila mdau aone? au unataka aje in box!?
Kinga njaa ulinunua kwa bei gani kila kiroba na kinauwezo wa kuhifadhi debe ngapi?Nipo Mbeya
Nimeandika wapi aje inbox mkuu tumia akili hata kidogo basiKama unajua kwa nn usiweke hapa ili kila mdau aone? au unataka aje in box!?
Hakikisha akili yako imeconnect na ubongo wako ndio ujibu mkuu utapeli unatoka wapi?Ni roho mbaya tu inamsumbua huyo na nia ya utapeli kuvutia watu inbox