any one can teach so longer as amefundishwa kwa three yearz and major at it, atashndwaje kufundisha history ya form 4? Serikal haimuajir cz hakujaza form kama walimu wanavojazaga wakimaliza au kabla ya kumaliza chuo, i av degree in b.a language bt i cn teach englsh, sw, french at am nt a teacher, infact udsm kulikuwa na form unajaza kama unataka fundisha kwa wasiowalim na unapangiwa, pia kusema serikal ina uhaba wa walimu ivo wangemchukua, wangap wamesomea uwalim wapo mtaan, gvnt haina pesa za kulipa walim mishahara.