Wapi ilipo ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dodoma?

Wapi ilipo ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dodoma?

svoca

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2014
Posts
373
Reaction score
70
Wadau mwenye kuijua ofisi tajwa hapo juu anijuze ili iwe rahisi kufika kwa usaili kama mnavyojua!
 
karibu na CRDB Bank

Mkuu CRDB tena au unamaanisha NBC,nijuavyo mimi ipo pembezoni mwa Nyerere road upande wa kushoto kama unaenda airport,ukitoka ccm makao makuu then TRA,uktoka hapo unaingia NBC na baada ya hapo ndo Ofisi ya mkuu wa mkoa.
 
Mkuu CRDB tena au unamaanisha NBC,nijuavyo mimi ipo pembezoni mwa Nyerere road upande wa kushoto kama unaenda airport,ukitoka ccm makao makuu then TRA,uktoka hapo unaingia NBC na baada ya hapo ndo Ofisi ya mkuu wa mkoa.

yah...i mistken, i thought 'waziri mkuu'
 
...tafuta ramani ya Dodoma wewe, una bahati Dodoma hakuna wa"father"ishaji utapotea, hapa mjini!
 
...tafuta ramani ya Dodoma wewe, una bahati Dodoma hakuna wa"father"ishaji utapotea, hapa mjini!
mkuu kuuliza c ujinga ona watu wenye busara zao hapo juu wamejibu vzur,kwan wao ni washamba? kusaidiana kwe haya mambo ni kawaida.
 
kaka kwa urahisi ofisi ya mkuu wa mkoa Dodoma iko karibu na ofisi ya CCM makao makuu ukiwa Nyerere Square hapo ukiona bango la CCM makao makuu bhasi ofisi inayofuata ndiyo ya mkuu wa mkoa,AHSANTE
 
Mkuu CRDB tena au unamaanisha NBC,nijuavyo mimi ipo pembezoni mwa Nyerere road upande wa kushoto kama unaenda airport,ukitoka ccm makao makuu then TRA,uktoka hapo unaingia NBC na baada ya hapo ndo Ofisi ya mkuu wa mkoa.

yap. hapo hapo mkuu.
 
Wadau nashukuru kwa ushirikiano wenu wa kunielekeza vizuri hakika nimepaelewa vema! Tuombeane na Mungu awabariki kwa mawazo yenu.
 
kaka jagarld na kobori ofisi ya mkuu wa mkoa pale waliihamisha baada ya kuungua moto kwa hiyo kwa sasa ofisi ya mkuu wa mkoa inapakana na ofisi ya CCM makao makuu kwa upande wa chini na baada ya ofisi ya mkuu wa mkoa ndiyo inafata TRA ndugu zangu
 
kama unaipata chako ni chako ukifka pale waweza ulizia au ukipotea ulizia msikit wa gadaf ukifka ulizia ofc ilipo
 
Back
Top Bottom