Averos JF-Expert Member Joined Aug 6, 2010 Posts 994 Reaction score 703 Jul 9, 2013 #1 Mwenye kuelewa eneo hili ni wapi atujuze Attachments bandari house.jpg 6.9 KB · Views: 376
A agosti 8 JF-Expert Member Joined Jan 31, 2013 Posts 3,575 Reaction score 2,582 Jul 10, 2013 #2 Hayo ni majengo ya BANDARI HOUSE ndani ya jiji la TANGA. jengo refu zaidi Tanga nzima.. hiyo ni barabara ya independence avenue...
Hayo ni majengo ya BANDARI HOUSE ndani ya jiji la TANGA. jengo refu zaidi Tanga nzima.. hiyo ni barabara ya independence avenue...
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Jul 10, 2013 #3 hapo mjini tanga
emma-chriss Senior Member Joined Mar 16, 2011 Posts 100 Reaction score 16 Jul 10, 2013 #4 kunani paleeeeee!!!!!!!!!!
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Jul 10, 2013 #5 waja leo.........................
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,276 Reaction score 108,282 Jul 10, 2013 #6 Hahaha huo mtaa ukinyoosha moja kwa moja hadi zilipo ofisi za Mkuu wa Mkoa, ndipo kidume nilikuwa nikiishi...
Hahaha huo mtaa ukinyoosha moja kwa moja hadi zilipo ofisi za Mkuu wa Mkoa, ndipo kidume nilikuwa nikiishi...
A agosti 8 JF-Expert Member Joined Jan 31, 2013 Posts 3,575 Reaction score 2,582 Jul 10, 2013 #7 Watu 8 ulikuwa unaishi BOMBO AREA au RASKAZONE?
A agosti 8 JF-Expert Member Joined Jan 31, 2013 Posts 3,575 Reaction score 2,582 Jul 10, 2013 #8 Hapo aliposimama mpiga picha ni TOYOTA, karibu na hapo kwenye jengo la TANESCO kuna mzee wetu mtaalamu wa kutengeneza matunda, unauziwa kwa sahani..
Hapo aliposimama mpiga picha ni TOYOTA, karibu na hapo kwenye jengo la TANESCO kuna mzee wetu mtaalamu wa kutengeneza matunda, unauziwa kwa sahani..
kashesho JF-Expert Member Joined Oct 19, 2012 Posts 4,974 Reaction score 2,492 Jul 10, 2013 #9 mi sipajui
A agosti 8 JF-Expert Member Joined Jan 31, 2013 Posts 3,575 Reaction score 2,582 Jul 10, 2013 #10 kashesho kama ulikuwa hupajui sasa umepajua.
Kirode JF-Expert Member Joined Mar 25, 2011 Posts 3,566 Reaction score 84 Jul 10, 2013 #11 kwa njeka....tanga
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,875 Jul 10, 2013 #12 watu8 said: Hahaha huo mtaa ukinyoosha moja kwa moja hadi zilipo ofisi za Mkuu wa Mkoa, ndipo kidume nilikuwa nikiishi... Click to expand... Eeeh nimepakumbuka pale......si pale tulikunywa papli papli......
watu8 said: Hahaha huo mtaa ukinyoosha moja kwa moja hadi zilipo ofisi za Mkuu wa Mkoa, ndipo kidume nilikuwa nikiishi... Click to expand... Eeeh nimepakumbuka pale......si pale tulikunywa papli papli......
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,276 Reaction score 108,282 Jul 10, 2013 #13 Preta said: Eeeh nimepakumbuka pale......si pale tulikunywa papli papli...... Click to expand... Hehehe...sio hapo bhanaaa Dr, kule kwa kipapli papli ni Chumbageni. Hapo pichani ni karibu kabisa na pale Nyumbani Lounge (Kwa Dereva wa Mkuu wa Mkoa)...
Preta said: Eeeh nimepakumbuka pale......si pale tulikunywa papli papli...... Click to expand... Hehehe...sio hapo bhanaaa Dr, kule kwa kipapli papli ni Chumbageni. Hapo pichani ni karibu kabisa na pale Nyumbani Lounge (Kwa Dereva wa Mkuu wa Mkoa)...
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,875 Jul 10, 2013 #14 watu8 said: Hehehe...sio hapo bhanaaa Dr, kule kwa kipapli papli ni Chumbageni. Hapo pichani ni karibu kabisa na pale Nyumbani Lounge (Kwa Dereva wa Mkuu wa Mkoa)... Click to expand... Oohooo......basi itabidi niende tena ili niweze kubalansi......btw......how are you Dr......?
watu8 said: Hehehe...sio hapo bhanaaa Dr, kule kwa kipapli papli ni Chumbageni. Hapo pichani ni karibu kabisa na pale Nyumbani Lounge (Kwa Dereva wa Mkuu wa Mkoa)... Click to expand... Oohooo......basi itabidi niende tena ili niweze kubalansi......btw......how are you Dr......?
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,276 Reaction score 108,282 Jul 10, 2013 #15 Preta said: Oohooo......basi itabidi niende tena ili niweze kubalansi......btw......how are you Dr......? Click to expand... Yeah nitakupeleka tena huko....kwa hisani ya Arabela na Babu Dark City... Mie nipo pouwa sana Dr....baridi bado yaleta matata?:becky: Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Preta said: Oohooo......basi itabidi niende tena ili niweze kubalansi......btw......how are you Dr......? Click to expand... Yeah nitakupeleka tena huko....kwa hisani ya Arabela na Babu Dark City... Mie nipo pouwa sana Dr....baridi bado yaleta matata?:becky:
PakaJimmy JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 16,202 Reaction score 8,781 Jul 10, 2013 #16 watu8 said: Hehehe...sio hapo bhanaaa Dr, kule kwa kipapli papli ni Chumbageni. Hapo pichani ni karibu kabisa na pale Nyumbani Lounge (Kwa Dereva wa Mkuu wa Mkoa)... Click to expand... Usinikumbushe mitaa hiyo bana, mi ntamkumbuka Madame B sasa hv, na kumbatio la karne! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
watu8 said: Hehehe...sio hapo bhanaaa Dr, kule kwa kipapli papli ni Chumbageni. Hapo pichani ni karibu kabisa na pale Nyumbani Lounge (Kwa Dereva wa Mkuu wa Mkoa)... Click to expand... Usinikumbushe mitaa hiyo bana, mi ntamkumbuka Madame B sasa hv, na kumbatio la karne!
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,276 Reaction score 108,282 Jul 10, 2013 #17 Hahaha...lile kumbatio lilikata machungu yote kwa shem wangu Madame B PakaJimmy said: Usinikumbushe mitaa hiyo bana, mi ntamkumbuka Madame B sasa hv, na kumbatio la karne! Click to expand...
Hahaha...lile kumbatio lilikata machungu yote kwa shem wangu Madame B PakaJimmy said: Usinikumbushe mitaa hiyo bana, mi ntamkumbuka Madame B sasa hv, na kumbatio la karne! Click to expand...
Pindima JF-Expert Member Joined Aug 16, 2011 Posts 347 Reaction score 82 Jul 10, 2013 #18 agosti 8 said: Hapo aliposimama mpiga picha ni TOYOTA, karibu na hapo kwenye jengo la TANESCO kuna mzee wetu mtaalamu wa kutengeneza matunda, unauziwa kwa sahani.. Click to expand... hahaha umenikumbusha mbali sana, nilikua nikipita kwa huyo mzee nikila matunda kila nikitoka school popatlal
agosti 8 said: Hapo aliposimama mpiga picha ni TOYOTA, karibu na hapo kwenye jengo la TANESCO kuna mzee wetu mtaalamu wa kutengeneza matunda, unauziwa kwa sahani.. Click to expand... hahaha umenikumbusha mbali sana, nilikua nikipita kwa huyo mzee nikila matunda kila nikitoka school popatlal
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,832 Reaction score 37,438 Jul 10, 2013 #19 PakaJimmy said: Usinikumbushe mitaa hiyo bana, mi ntamkumbuka Madame B sasa hv, na kumbatio la karne! Click to expand... I love youuuuuuuuu PakaJimmy...!!!!!!! kwa lile KUMBATIO Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
PakaJimmy said: Usinikumbushe mitaa hiyo bana, mi ntamkumbuka Madame B sasa hv, na kumbatio la karne! Click to expand... I love youuuuuuuuu PakaJimmy...!!!!!!! kwa lile KUMBATIO
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,832 Reaction score 37,438 Jul 10, 2013 #20 watu8 said: Hahaha...lile kumbatio lilikata machungu yote kwa shem wangu Madame B Click to expand... Hahahaha............ shem watu8, yaani nililiaje juu ya kifua cha PakaJimmy + na lile joto, Dah!!!!!! Afu ukikutana nae huyo PJ mwambie ile hengachifu yake bado ninayo. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
watu8 said: Hahaha...lile kumbatio lilikata machungu yote kwa shem wangu Madame B Click to expand... Hahahaha............ shem watu8, yaani nililiaje juu ya kifua cha PakaJimmy + na lile joto, Dah!!!!!! Afu ukikutana nae huyo PJ mwambie ile hengachifu yake bado ninayo.