Wapi Fundi/Gereji wa bodi za Magari

Wapi Fundi/Gereji wa bodi za Magari

Joleki

Member
Joined
Nov 3, 2013
Posts
27
Reaction score
2
Habari wanajamvi,

Naomba msaada kwa anayejua gereji kwa Dar yenye mafundi wazuri wa kunyoosha bodi za magari pamoja na kupiga rangi vizuri.
 
Nenda Pachoto pale Kinondoni utakuna na watalaam wa kunyoosha na rangi pia.
 
Back
Top Bottom