Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,331
- 4,241
Nikiwa mmoja wa wakereketwa wa Ugali Ugali Fanatic Niko mstari wa mbele kuutetea na kuulinda Ugali chakula pekee Bora Kwa afya na maisha ya binadamu.
Hivi Karibuni humu jamvini kumetokea na wimbi la wasomi uchwara wachache na baadhi ya watu ambao wanaushambulia Ugali bila sababu yoyote ya msingi.
Hatutakubali hii tabia iendelee. Hatua stahiki zitachukuliwa ikiwepo ya kinidhamu Kwa wale wote wanaoipaka tope na kudislike chakula kuntu Ugali.
Ugali ni urith wetu heritage, ugali ni nembo yetu na ugali ni utambulisho wetu Identity.
#UgaliFirstUgaliForever
adriz
Hivi Karibuni humu jamvini kumetokea na wimbi la wasomi uchwara wachache na baadhi ya watu ambao wanaushambulia Ugali bila sababu yoyote ya msingi.
Hatutakubali hii tabia iendelee. Hatua stahiki zitachukuliwa ikiwepo ya kinidhamu Kwa wale wote wanaoipaka tope na kudislike chakula kuntu Ugali.
Ugali ni urith wetu heritage, ugali ni nembo yetu na ugali ni utambulisho wetu Identity.
#UgaliFirstUgaliForever
adriz