Wapenzi wa Ugali tusikubali kuonewa

Wapenzi wa Ugali tusikubali kuonewa

Busu la Kenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2025
Posts
2,331
Reaction score
4,241
Nikiwa mmoja wa wakereketwa wa Ugali Ugali Fanatic Niko mstari wa mbele kuutetea na kuulinda Ugali chakula pekee Bora Kwa afya na maisha ya binadamu.

Hivi Karibuni humu jamvini kumetokea na wimbi la wasomi uchwara wachache na baadhi ya watu ambao wanaushambulia Ugali bila sababu yoyote ya msingi.

Hatutakubali hii tabia iendelee. Hatua stahiki zitachukuliwa ikiwepo ya kinidhamu Kwa wale wote wanaoipaka tope na kudislike chakula kuntu Ugali.

Ugali ni urith wetu heritage, ugali ni nembo yetu na ugali ni utambulisho wetu Identity.

#UgaliFirstUgaliForever

adriz
 
Nikiwa mmoja wa wakereketwa wa Ugali Ugali Fanatic Niko mstari wa mbele kuutetea na kuulinda Ugali chakula pekee Bora Kwa afya na maisha ya binadamu.

Hivi Karibuni humu jamvini kumetokea na wimbo la wasomi uchwara wachache na baadhi ya watu ambao wanaushambulia Ugali bila sababu yoyote ya msingi.

Hatutakubali hii tabia iendelee. Hatua stahiki zitachukuliwa ikiwepo ya kinidhamu Kwa wale wrote wanaipaka tope na kudislike chakula kuntu Ugali.

Ugali ni urith wetu heritage, ugali ni nembo yetu na ugali ni utambulisho wetu Identity.

#UgaliFirstUgaliForever

adriz
Ugali w aina gani
 
Nikiwa mmoja wa wakereketwa wa Ugali Ugali Fanatic Niko mstari wa mbele kuutetea na kuulinda Ugali chakula pekee Bora Kwa afya na maisha ya binadamu.

Hivi Karibuni humu jamvini kumetokea na wimbi la wasomi uchwara wachache na baadhi ya watu ambao wanaushambulia Ugali bila sababu yoyote ya msingi.

Hatutakubali hii tabia iendelee. Hatua stahiki zitachukuliwa ikiwepo ya kinidhamu Kwa wale wote wanaoipaka tope na kudislike chakula kuntu Ugali.

Ugali ni urith wetu heritage, ugali ni nembo yetu na ugali ni utambulisho wetu Identity.

#UgaliFirstUgaliForever

adriz
😂
 
Nikiwa mmoja wa wakereketwa wa Ugali Ugali Fanatic Niko mstari wa mbele kuutetea na kuulinda Ugali chakula pekee Bora Kwa afya na maisha ya binadamu.

Hivi Karibuni humu jamvini kumetokea na wimbi la wasomi uchwara wachache na baadhi ya watu ambao wanaushambulia Ugali bila sababu yoyote ya msingi.

Hatutakubali hii tabia iendelee. Hatua stahiki zitachukuliwa ikiwepo ya kinidhamu Kwa wale wote wanaoipaka tope na kudislike chakula kuntu Ugali.

Ugali ni urith wetu heritage, ugali ni nembo yetu na ugali ni utambulisho wetu Identity.

#UgaliFirstUgaliForever

adriz
Mpaka wazungu wanaukubali ugali! Kuna wamarekani ma Waholanzi nilifanya nao kazi. Walipoonja dona la Usukumani kwa mlenda na samaki pembeni hawakutaka kuacha! Mkuu nimetoka kupiga kwa samaki
 
Screenshot_20250630-192713.jpg

Huyu mwamba aheshimiwe. Amelitoa mbali hili Taifa.
 
Nikiwa mmoja wa wakereketwa wa Ugali Ugali Fanatic Niko mstari wa mbele kuutetea na kuulinda Ugali chakula pekee Bora Kwa afya na maisha ya binadamu.

Hivi Karibuni humu jamvini kumetokea na wimbi la wasomi uchwara wachache na baadhi ya watu ambao wanaushambulia Ugali bila sababu yoyote ya msingi.

Hatutakubali hii tabia iendelee. Hatua stahiki zitachukuliwa ikiwepo ya kinidhamu Kwa wale wote wanaoipaka tope na kudislike chakula kuntu Ugali.

Ugali ni urith wetu heritage, ugali ni nembo yetu na ugali ni utambulisho wetu Identity.

#UgaliFirstUgaliForever

adriz
Pamoja mkuu.


Mwenye Hekima Daniel licha ya kuletewa vinono na mfalme bado alikula ugali WA mtama na akanona kuliko hata waliokula bata Kwa mrija.



Ugali oyeeee
 
Sasa huo mkuu uukute na ka kuku ka kienyeji ka mtetea kemerostiwa vizuri, weweeee!!
Eti mwanaume mzima anakula ugali wa sembe iliyo kobolewa halafu nayeye anawacheka wanao kula chips, inamuangaliaaaaa halafu unajisema hiiiiiii!!
 
Nikiwa mmoja wa wakereketwa wa Ugali Ugali Fanatic Niko mstari wa mbele kuutetea na kuulinda Ugali chakula pekee Bora Kwa afya na maisha ya binadamu.

Hivi Karibuni humu jamvini kumetokea na wimbi la wasomi uchwara wachache na baadhi ya watu ambao wanaushambulia Ugali bila sababu yoyote ya msingi.

Hatutakubali hii tabia iendelee. Hatua stahiki zitachukuliwa ikiwepo ya kinidhamu Kwa wale wote wanaoipaka tope na kudislike chakula kuntu Ugali.

Ugali ni urith wetu heritage, ugali ni nembo yetu na ugali ni utambulisho wetu Identity.

#UgaliFirstUgaliForever

adriz
Naunga mkono hoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom