Nimesikia interview ya Morrison nimesikitishwa sana hasa baada ya kusikia kuwa huenda huyu mwanamke ana chuki naye.
Lazima ifike mahali tuone hatari ya kiongozi kuleta chuki za kike.
Kama umewahi kuona kiongozi sehemu yoyote akiwa mwanamke,mara nyingi akiwa na msimamo hasi juu yako,huwa habadiliki.Na anaungwa mkono na wanaume wapumbavu.
Kwa club kubwa kama Simba,ni hatari sana kumwachia na kumwamini mtu kama huyu.Kama hakuna uwezekano wa kumuondoa,tuambieni tuachane na hii club tuhamie Azam.Maana kama tutakubali kiongozi analeta fitna kama za siasa kwa wachezaji,tena wenye vipaji,timu hii itapoteza kabisa umaarufu.
Kwa kitendo alichomfanyia Morrison,si kwamba kitamuathiri yeye pekee,kitabakiza mashaka mengi kwa wachezaji wengine,wataishi kwa hofu.
Na mimi nawaambia kwa hali hii,ipo siku club inaweza kushuka daraja.Wachezaji watacheza kinyonge na kutokuwa na morali.
Na niwahakikishie kama kutakuwa na mechi ya ngao ya hisani na huyu mwanamke yupo,safari hii Simba atachezea mvua ya magoli.
Nimegundua ni kwa nini wachezaji wanacheza bila morali.
Hawawezi kusema,lakini kwa machache aliyosema Morrison, kuna shida kubwa na huyu mama.
Lazima ifike mahali tuone hatari ya kiongozi kuleta chuki za kike.
Kama umewahi kuona kiongozi sehemu yoyote akiwa mwanamke,mara nyingi akiwa na msimamo hasi juu yako,huwa habadiliki.Na anaungwa mkono na wanaume wapumbavu.
Kwa club kubwa kama Simba,ni hatari sana kumwachia na kumwamini mtu kama huyu.Kama hakuna uwezekano wa kumuondoa,tuambieni tuachane na hii club tuhamie Azam.Maana kama tutakubali kiongozi analeta fitna kama za siasa kwa wachezaji,tena wenye vipaji,timu hii itapoteza kabisa umaarufu.
Kwa kitendo alichomfanyia Morrison,si kwamba kitamuathiri yeye pekee,kitabakiza mashaka mengi kwa wachezaji wengine,wataishi kwa hofu.
Na mimi nawaambia kwa hali hii,ipo siku club inaweza kushuka daraja.Wachezaji watacheza kinyonge na kutokuwa na morali.
Na niwahakikishie kama kutakuwa na mechi ya ngao ya hisani na huyu mwanamke yupo,safari hii Simba atachezea mvua ya magoli.
Nimegundua ni kwa nini wachezaji wanacheza bila morali.
Hawawezi kusema,lakini kwa machache aliyosema Morrison, kuna shida kubwa na huyu mama.