Wapenzi wa Gaming Pc & Building

Wapenzi wa Gaming Pc & Building

nipe mrejesho naona cooler imefika vipi umewin
Yap mkuu, mashine imekamilika na haija niangusha perfomance wise, Nimebakiza Ram tu target yangu ni 8 Gigs.

1.png


2.png

3.png

4.png

5.png

6.png

7.png
 
mchakato mzima vip ulikugharimu kama shingapi
 
Daaah mkuu nakuonea donge hatari yani, hapo ukiongeza RAM umemaliza kila kitu.
 
Monitor ninayotumia resolution max 1080 kwa hiyo hata card ingekuwawa ina push 1440 au 4k ni useless. Kuhusu case kupata case nzuri ni changamoto kidogo, ila kama ikipatikana nzuri ipo ndani ya bajeti yangu, i will take it.
mkuu build kali sana , umejitahd kwa kweli ila kama ni gaming pc kweli kweli ram 8gb haitatosha siku zinavozidi kwenda , plan ahead mkuu tafuta 8+8 =16 , humo fallout 4 kwa 8gb sidhani ,,afu boss monitor pia si ungebadil pia mkuu ,sema taratibu tu
 
mkuu build kali sana , umejitahd kwa kweli ila kama ni gaming pc kweli kweli ram 8gb haitatosha siku zinavozidi kwenda , plan ahead mkuu tafuta 8+8 =16 , humo fallout 4 kwa 8gb sidhani ,,afu boss monitor pia si ungebadil pia mkuu ,sema taratibu tu
Mkuu natumia hp2311x 23'' kwa kweli ipo vizuri tu sijaona mapungufu sana, na pia wamei customize ina Gaming mode ambapo uki switch ina balance color vizuri sana.
Kuhusu Ram pia naweza ongeza baadae kwasababu hiyo mobo ina slot za kutosha.

$_86.JPG


original.500x375t.jpg
 
Mk
Hapana mkuu haina, hizo bei zake si za kitoto maana bado ni chache sana.
mkuu nnahitahi kubadili processor kwenye PC yangu ila tatizo sifahamu jinsi ya kugundua kama processor IPO vipi compatible na mother board yangu.
 
Mk
mkuu nnahitahi kubadili processor kwenye PC yangu ila tatizo sifahamu jinsi ya kugundua kama processor IPO vipi compatible na mother board yangu.
Nenda kwenye computer properties
Hapo utaona details za processor yako
12.png


Njia nyingine ambayo ni rahisi zaidi na utapata details nyingi, install CPUZ

1.png

321.png
 
Mk
mkuu nnahitahi kubadili processor kwenye PC yangu ila tatizo sifahamu jinsi ya kugundua kama processor IPO vipi compatible na mother board yangu.
Ukishafahamu processor yako ni rahisi kujua ni socket gani imetumika, ukishajua socket iliyotumika utafahamu list ya compatible processors kwa MOBO yako.
 
Kizuri share na wenzako
Haya mwenye pesa mashine safi kabisa hiyo, nimeona FB group kuna mdau anauza, ni mashine nzuri sana bei hiyo ni sawa na bure, optiplex 9020 inatumia haswell processor ambayo ni intel 4th generation very powerful, kwa bei 770k ni sawa na bure kwa mashine complete, mwenye pesa yake achangamkie fursa, hiyo mashine dukani zinauzwa 1.6m-1.8m,
hapo ni kufunga Graphics card tu na kuongeza RAM unakuwa na Gaming rig yako.

Screenshot (4).png
 
Kizuri share na wenzako
Haya mwenye pesa mashine safi kabisa hiyo, nimeona FB group kuna mdau anauza, ni mashine nzuri sana bei hiyo ni sawa na bure, optiplex 9020 inatumia haswell processor ambayo ni intel 4th generation very powerful, kwa bei 770k ni sawa na bure kwa mashine complete, mwenye pesa yake achangamkie fursa, hiyo mashine dukani zinauzwa 1.6m-1.8m,
hapo ni kufunga Graphics card tu na kuongeza RAM unakuwa na Gaming rig yako.

View attachment 431197
mkuu nitakutafuta hivi vitu nilikuwa navipenda sana passion ikaanza kupotea narudi darasni nikiwa tayari nitaomba unipe darasa la component moja hadi nyingine
 
Hongera sana mkuu! Hv vitu huwa nataman kuvifanya ila tatizo lnakuja kwenye mkwanja
 
yeah for real Rig ya h120 ipo fresh sana nilimtembelea mdogo wake last yeah niliikuta hiyo Rig ipo poa sana
nilicheza gta v ilikua poa sana hakuna lag sana
nakumbuka Gta v ilikua inasukumwa katika high settings @1080 resolution
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom