Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,484
- 45,795
Hiyo ilikuwa ni Friday 13th ya zamani sana ina matoleo mengi lakini kweli kwa wakati huo ilikuwa inatisha sana maana ukatili wake ni balaa lakini siku hizi watu wanachomana na tairi live kwa hiyo nafikiri unaweza kuangalia kwa sasa bila tabu. Enjoy!