Wapentekoste washikana uchawi

Wapentekoste washikana uchawi

bora umewaambia mm wananiudhi sana hawa
ambao wanakalia upande mmoja, wakiumwa
utasikia ngoja niende kule pentekoste
nikaombewe halafu hapa wanakuwa midomo mirefu
utadhani wametiwa morta midomoni mwao


huwa mnajifanya mnajua kutoa taarifa uchwara,kwa taarifa yenu majina yalipelekwa.Acheni dharau,mkivimba mitumbo mnaenda kuombewa kwa wapentekoste kwa nn msiende katoliki au kwa waislamu?
 
WALOKOLE kwakukurupuka hawajambo..

binafsi naomba wajifunze hierachy ya uongozi kutoka kanisa katoliki

Baelesee. Utakuta mtu hajui hata mlango wa chuo cha kiroho kiko wapi lkn anajiita askofu wanadiriki kujiita manabii mpaka mitume wanaotembea na wake za watu tumewashuhudia. BURE KABISA HAWA. Kwa elimu yangu ya BIBLIA mimi naweza kuitwa senior askofu maana knowledge yangu inazidi maaskofu wao wengi. utawasikia...... katika chiina la Yesu. note sio jina ni chiina. amen wanasema eimeeen. Nina wasiwasi kama hawa watu sio wachawi. Uliona wapi kanisa halina Liturgia ?
 
Nani, Pius Ikongo? Ninyi mnaomjadili hapa Ikongo mnamfahamu? Huyu siyo Askofu, wala ushirika wa Wachungaji anaosema, wala haupo, wala hana Kanisa. Huyu ni kibaraka wa TISS ambaye kazi yake ni kuleta fitina kwa Wapentekoste. Alianza kazi yake ya kuleta fitina kwa Wapentekoste miezi kadha iliyopita, baada ya tamko kali la Tanzania Christian Forum (TCF), inayowajumuisha TEC ya Wakatoliki, CCT ya Waprotestanti, na PCT ya Wapentekoste. Tamko kali la TCF lilitolewa baada ya kuchomwa Makanisa mfululizo, na lilikuwa mwiba mkali kwa Serikali. Ndipo kibaraka Ikongo akatumwa kuleta fitina kwa Wapentekoste, na kusema kwa nini Viongozi wao wamekubali kushirikiana na waabudu sanamu. Akafukuzwa kwa aibu, kwenye kikao cha Wapentekoste pale Ubungo baada ya kuingia bila kuwa mjumbe, na kuleta fujo. Majuzi baada ya kifo cha Askofu Mkuu Kulola, aliibuka na kusema eti kabla ya kufa, Kulola alimwagiza aachane na huduma zake ndogondogo na kujiunga na EAGT. Ndipo akatangaza kwamba eti amejivua uaskofu wa huduma yake na kujiunga na EAGT na kuwa mshirika wa kawaida, kule Kigamboni. Leo, huyu mshirika wa kawaida, anajiita tena ni Askofu. Kwa ufupi, huyu ni kibaraka wa TISS ambaye kazi yake ni kuvuta mkwanja kwa fitina zake kwa Wapentekoste. Baada ya majina ya PCT kutupwa kapuni, na wakatoa malalamiko, ndipo Ikulu wakasema uongo kwamba majina hayakupelekwa, na wakaanza kumtumia tena Ikongo kuleta fitina eti Viongozi wa Wapentekoste wajiuzulu kwa kushindwa kupeleka majina. Ukweli ni kwamba majina yalipelekwa, Maaskofu wa PCT wasingeweza kuitisha Press Conference kulalamika wakati majina hayajapelekwa. Kutokana na fitina zake, Ikongo alipewa zawadi binafsi ya kuchagua mtu wa kumpeleka Bunge Maalum la Katiba. Akamchagua mtu wake, Respa Adam Miguna, anayesali EAGT Kigamboni, ambaye amewekwa katika orodha ya wajumbe wa kundi la Taasisi za Kidini, kama mtu binafsi, na Ikulu imesema eti PCT imtumie huyo huko Dodoma! Kwa taarifa ya JF, Respa hajaenda Dodoma mpaka leo, amejifungua kwa operesheni, siku chache zilizopita, na bado ni dhaifu. HIYO NDIYO TANZANIA!!!!
 
Nani, Pius Ikongo? Ninyi mnaomjadili hapa Ikongo mnamfahamu? Huyu siyo Askofu, wala ushirika wa Wachungaji anaosema, wala haupo, wala hana Kanisa. Huyu ni kibaraka wa TISS ambaye kazi yake ni kuleta fitina kwa Wapentekoste. Alianza kazi yake ya kuleta fitina kwa Wapentekoste miezi kadha iliyopita, baada ya tamko kali la Tanzania Christian Forum (TCF), inayowajumuisha TEC ya Wakatoliki, CCT ya Waprotestanti, na PCT ya Wapentekoste. Tamko kali la TCF lilitolewa baada ya kuchomwa Makanisa mfululizo, na lilikuwa mwiba mkali kwa Serikali. Ndipo kibaraka Ikongo akatumwa kuleta fitina kwa Wapentekoste, na kusema kwa nini Viongozi wao wamekubali kushirikiana na waabudu sanamu. Akafukuzwa kwa aibu, kwenye kikao cha Wapentekoste pale Ubungo baada ya kuingia bila kuwa mjumbe, na kuleta fujo. Majuzi baada ya kifo cha Askofu Mkuu Kulola, aliibuka na kusema eti kabla ya kufa, Kulola alimwagiza aachane na huduma zake ndogondogo na kujiunga na EAGT. Ndipo akatangaza kwamba eti amejivua uaskofu wa huduma yake na kujiunga na EAGT na kuwa mshirika wa kawaida, kule Kigamboni. Leo, huyu mshirika wa kawaida, anajiita tena ni Askofu. Kwa ufupi, huyu ni kibaraka wa TISS ambaye kazi yake ni kuvuta mkwanja kwa fitina zake kwa Wapentekoste. Baada ya majina ya PCT kutupwa kapuni, na wakatoa malalamiko, ndipo Ikulu wakasema uongo kwamba majina hayakupelekwa, na wakaanza kumtumia tena Ikongo kuleta fitina eti Viongozi wa Wapentekoste wajiuzulu kwa kushindwa kupeleka majina. Ukweli ni kwamba majina yalipelekwa, Maaskofu wa PCT wasingeweza kuitisha Press Conference kulalamika wakati majina hayajapelekwa. Kutokana na fitina zake, Ikongo alipewa zawadi binafsi ya kuchagua mtu wa kumpeleka Bunge Maalum la Katiba. Akamchagua mtu wake, Respa Adam Miguna, anayesali EAGT Kigamboni, ambaye amewekwa katika orodha ya wajumbe wa kundi la Taasisi za Kidini, kama mtu binafsi, na Ikulu imesema eti PCT imtumie huyo huko Dodoma! Kwa taarifa ya JF, Respa hajaenda Dodoma mpaka leo, amejifungua kwa operesheni, siku chache zilizopita, na bado ni dhaifu. HIYO NDIYO TANZANIA!!!!


Ndugu wakigombana, wewe chukua jembe kalime
 
Ndugu wakigombana, wewe chukua jembe kalime

Mkuu, hapa hakuna ndugu wanaogombana. Ikongo siyo Mpentekoste, ni pandikizi tu la TISS. Ni mbwamwitu katika mavazi ya kondoo, ni gugu katikati ya ngano, ni mtafutaji tu wa kawaida! Waswahili wanasema, "Kuishi Bongo, ni mpaka mtu atumie ubongo wake, ndivyo sivyo"!
 
Makanisa ya pentekoste hayana mfumo wa kiutawala kama makanisa ya lutheran au anglican. Wao hawana kiongozi mkuu nchini. mtu yoyote anaweza akajiita askofu au mtume au nabii akajenga kibanda chake na kukiita anavyotaka mfano. Kakobe. Lwakatare. etc. hakuna boss na no kuingiliana sasa ulitegemea nani apeleke majina na ni majina ya nani ? Makanisa haya yanaota kama uyoga Dar na kupiga mziki mnene siku na masaa ambayo sio. Wangekua na central authority wangeweza kuji organise na kufanya vitu kimpangilio.
huo ndio ukweli mkuu anayetaka akubali asiyetaka afanyie utafiti lakini ukweli ndio huo
 
Watu mnakosa vitu vya kujadili , aibu kujadili jambo kama hili alafu nanyi mnajiita great thinkers , hakuna hoja ya kujadili hapo naona mnaendekeza umbea tu na chuki juu ya pentecostal churches, kwani kwa akili yenu Ikulu aiwezi ikawa ili mispress hayo majina ?

Mnashangaa nini kama Ikulu imeweza kumpitisha mwenyekiti wa chama na mke wake wakawa wawakilishi wa bunge la katiba ? Ikulu hiyo hiyo imepitishwa majina mawili yanayojirudia kutoka chama hicho hicho cha wafanya kazi

Mnaudhi sana na ni aibu kukurupuka kuegemea upande mmoja bila kufikirisha akili zenu

Ku mispress maana yake nini mkuu?
 
Watu mnakosa vitu vya kujadili , aibu kujadili jambo kama hili alafu nanyi mnajiita great thinkers , hakuna hoja ya kujadili hapo naona mnaendekeza umbea tu na chuki juu ya pentecostal churches, kwani kwa akili yenu Ikulu aiwezi ikawa ili mispress hayo majina ?

Mnashangaa nini kama Ikulu imeweza kumpitisha mwenyekiti wa chama na mke wake wakawa wawakilishi wa bunge la katiba ? Ikulu hiyo hiyo imepitishwa majina mawili yanayojirudia kutoka chama hicho hicho cha wafanya kazi

Mnaudhi sana na ni aibu kukurupuka kuegemea upande mmoja bila kufikirisha akili zenu

Hapo penye wekundu sijakuelewa unamaanisha nini?
 
Nani, Pius Ikongo? Ninyi mnaomjadili hapa Ikongo mnamfahamu? Huyu siyo Askofu, wala ushirika wa Wachungaji anaosema, wala haupo, wala hana Kanisa. Huyu ni kibaraka wa TISS ambaye kazi yake ni kuleta fitina kwa Wapentekoste. Alianza kazi yake ya kuleta fitina kwa Wapentekoste miezi kadha iliyopita, baada ya tamko kali la Tanzania Christian Forum (TCF), inayowajumuisha TEC ya Wakatoliki, CCT ya Waprotestanti, na PCT ya Wapentekoste. Tamko kali la TCF lilitolewa baada ya kuchomwa Makanisa mfululizo, na lilikuwa mwiba mkali kwa Serikali. Ndipo kibaraka Ikongo akatumwa kuleta fitina kwa Wapentekoste, na kusema kwa nini Viongozi wao wamekubali kushirikiana na waabudu sanamu. Akafukuzwa kwa aibu, kwenye kikao cha Wapentekoste pale Ubungo baada ya kuingia bila kuwa mjumbe, na kuleta fujo. Majuzi baada ya kifo cha Askofu Mkuu Kulola, aliibuka na kusema eti kabla ya kufa, Kulola alimwagiza aachane na huduma zake ndogondogo na kujiunga na EAGT. Ndipo akatangaza kwamba eti amejivua uaskofu wa huduma yake na kujiunga na EAGT na kuwa mshirika wa kawaida, kule Kigamboni. Leo, huyu mshirika wa kawaida, anajiita tena ni Askofu. Kwa ufupi, huyu ni kibaraka wa TISS ambaye kazi yake ni kuvuta mkwanja kwa fitina zake kwa Wapentekoste. Baada ya majina ya PCT kutupwa kapuni, na wakatoa malalamiko, ndipo Ikulu wakasema uongo kwamba majina hayakupelekwa, na wakaanza kumtumia tena Ikongo kuleta fitina eti Viongozi wa Wapentekoste wajiuzulu kwa kushindwa kupeleka majina. Ukweli ni kwamba majina yalipelekwa, Maaskofu wa PCT wasingeweza kuitisha Press Conference kulalamika wakati majina hayajapelekwa. Kutokana na fitina zake, Ikongo alipewa zawadi binafsi ya kuchagua mtu wa kumpeleka Bunge Maalum la Katiba. Akamchagua mtu wake, Respa Adam Miguna, anayesali EAGT Kigamboni, ambaye amewekwa katika orodha ya wajumbe wa kundi la Taasisi za Kidini, kama mtu binafsi, na Ikulu imesema eti PCT imtumie huyo huko Dodoma! Kwa taarifa ya JF, Respa hajaenda Dodoma mpaka leo, amejifungua kwa operesheni, siku chache zilizopita, na bado ni dhaifu. HIYO NDIYO TANZANIA!!!!

Huu ni ukweli mtupu unaouma!
 
Mkuu, hapa hakuna ndugu wanaogombana. Ikongo siyo Mpentekoste, ni pandikizi tu la TISS. Ni mbwamwitu katika mavazi ya kondoo, ni gugu katikati ya ngano, ni mtafutaji tu wa kawaida! Waswahili wanasema, "Kuishi Bongo, ni mpaka mtu atumie ubongo wake, ndivyo sivyo"!

hakuna kitu kibaya kama kuhujumu kanisa.unafiki wake utammaliza
 
Back
Top Bottom