MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Wapendwa, huu ni muendelezo wa post yangu ya (Ushauri wa Bure kwa waendao UDOM) pamoja na ile ya (wewe wa UDOM soma hapa fasta).
Kwa umuhimu wake, nimeona nizitenge ili zipate kuonekana, pamoja na hizo mbili, natoa hii ihusuyo bima ya Afya. Utaratibu wa kujiunga na Bima ya afya tembeleeni link ya MFUKO WA AFYA (BIMA YA AFYA) katika link hii ifuatayo:
Huduma kwa Wanachuo, hapo utapata kila kitu. Naomba ADMINS msiichanganye post hii kwa sababu ya umuhimu wake, huu ni utaratibu mpya hapa UDOM na pia haufahamiki kwa walio wengi.
Kwa umuhimu wake, nimeona nizitenge ili zipate kuonekana, pamoja na hizo mbili, natoa hii ihusuyo bima ya Afya. Utaratibu wa kujiunga na Bima ya afya tembeleeni link ya MFUKO WA AFYA (BIMA YA AFYA) katika link hii ifuatayo:
Huduma kwa Wanachuo, hapo utapata kila kitu. Naomba ADMINS msiichanganye post hii kwa sababu ya umuhimu wake, huu ni utaratibu mpya hapa UDOM na pia haufahamiki kwa walio wengi.