Jamaa yangu kaja nimshauri lkn nimeshindwa naomba msaada wenu Tatizo lenyewe nikwamba jamaa anapokuwa na demu anakuwa na mzuka sana wa kugonga na akigonga kagoli kamoja tu mashine inalala kuamka hadi saa nzima hivyo demu wake anamsema sana kwamba goli 1 tu halitoshi. Je, jamaa afanyeje ili awe anagonga hata matatu? na afanyeje ili mashine iwe active muda wote? msaada jamani