Wape neno moja hawa majembe fake

Wape neno moja hawa majembe fake

Naantombe Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,254
Reaction score
15,735
attachment.php


attachment.php


Mi nasema aika Ruwa umetuepushia mafisadi.
 

Attachments

  • 12289633_1653143971618834_3850282687697909732_n.jpg
    12289633_1653143971618834_3850282687697909732_n.jpg
    6.6 KB · Views: 2,958
  • 12345417_1653143968285501_2565030630227446048_n.jpg
    12345417_1653143968285501_2565030630227446048_n.jpg
    17.2 KB · Views: 2,238
Hawa walikuwa wanakula na wanawalinda wezi pale TPA
 
Hawana lolote,wanajua kupiga domo tu na kupiga picha na home shopping center,
 
wapigaji wakubwa, yule kiongozi wa korea angekua bongo wasingekua wanapumua hao
 
Picha ya pili ni ya mtu mpenda madaraka, alitaka kuwa pm, baada ya kutoswa uspika 2010 akataka agombee kupitia chadema ila akabadili msimamo baada ya kuanbiwa atakuwa waziri. Akaongoza bunge le la katiba alivyotaka ili kutengeneza jina lake ambapo wajumbe hadi waliokuwa safarini walipiga kura. Akagombea uspika akasema akikatwa ni mahakamani tu
 
dr. mwakyembe bana tokea kipindi kile takukuru walivombana kuhusu ishu ya kupokea posho mara mbili mbili kwa kazi moja na utetezi aliokua anautoa nilipata wasiwasi nae mnooo.. kama wengi wetu katabia ka udokozi nafikiri hakakupita nae mbali sana
 
Back
Top Bottom