Wapanda daladala, watembea kwa miguu na roho za kwanini kwa wenye magari

aka2030

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
2,636
3,620
Yaani ukiwa unaendesha gari ukakutana na watu wamepanda daladala kwenye foleni watakuangalia jicho baya sana lililojaa chuki kisa unaendesha mwenyewe kagari kako
Haya sasa watembea kwa miguu ndio shida yaaan jicho la chuki tu utazani wew ndo chanzo cha yeye akiwa mtembelea migu,bahati mbaya umkose kumgonga utasikia kisa una gari basi unatudharau
Ulikutana nao zebra sasa taaa ya kijani inawaka yeye anataka avuke
Msiwe na roho ya kwanini kila mtu anaishi kwa kuchagua life style,bahati na Mungu alivomuandikia
 
Yaani ukiwa unaendesha gari ukakutana na watu wamepanda daladala kwenye foleni watakuangalia jicho baya sana lililojaa chuki kisa unaendesha mwenyewe kagari kako
Haya sasa watembea kwa miguu ndio shida yaaan jicho la chuki tu utazani wew ndo chanzo cha yeye akiwa mtembelea migu,bahati mbaya umkose kumgonga utasikia kisa una gari basi unatudharau
Ulikutana nao zebra sasa taaa ya kijani inawaka yeye anataka avuke
Msiwe na roho ya kwanini kila mtu anaishi kwa kuchagua life style,bahati na Mungu alivomuandikia
Unajishtukia tu na MKEBE WAKO WA KIMBO wala hamna mwenye time na wewe!
 
Ninamashaka na jinsia yako wewe ni ke, Mbona Mimi kidume jiwe mzee wa tinted napata laha sanaa,chukua ushauli wa bule weka tinted usiendeshe gari bila tinted ndio maana unalialia
Dar tinted hazitakiwi mkuu.
Oooh sorry nimeasume wana jf wote wanaishi dar
 
Ninamashaka na jinsia yako wewe ni ke, Mbona Mimi kidume jiwe mzee wa tinted napata laha sanaa,chukua ushauli wa bule weka tinted usiendeshe gari bila tinted ndio maana unalialia🤳
Mkuu kazifanyie mazoezi herufi R na L,naona zinakudhalilisha hapa...
 
Kuna wengine wanapenda tu kutembea kwa miguu magar wanayo na yapo full tank ila hajisikii kutembea na gar mkuu
 
Back
Top Bottom