Jaluo_Nyeupe JF-Expert Member Joined Dec 21, 2010 Posts 2,950 Reaction score 2,489 Feb 17, 2011 #21 Mbona hawajali hata watoto waliopo hapo? Wanawarithisha nini sasa?
P Pomole JF-Expert Member Joined Jan 31, 2011 Posts 257 Reaction score 8 Feb 17, 2011 #22 Eeeh,uwe na ndogo au kubwa yote majaliwa!!Kuna wakati hawa watu wana michezo ya ajabu sana!!Kuna wakati pia kuna watu walikutana mahali uchi zaidi ya watu elfu tano,wake kwa waume.Utakuta wameoa na wengine kuolewa hapo.Muhimu Tuwaombee
Eeeh,uwe na ndogo au kubwa yote majaliwa!!Kuna wakati hawa watu wana michezo ya ajabu sana!!Kuna wakati pia kuna watu walikutana mahali uchi zaidi ya watu elfu tano,wake kwa waume.Utakuta wameoa na wengine kuolewa hapo.Muhimu Tuwaombee