Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,671
- 37,838
Wapambe msitujadili mapenzi yetu hayawahusu,ya kwako yamekushinda ya wenzako utayaweza,achen kudiscus mapenzi ya wenzenu,kujitongozesha kwa nguvupenzi ni bonge la issue kwetu cici wapendanao, mabomba mkazuzu,wakerwa shauri zaoc katuunganisha mola kupendana yetu furaha, nendeni vyombo vya dola kwetu msitupleleze,mcituchunguze kibaya msitutangaze,acheni tujinafasi
wapambe presha inapanda aah presha inashuka pressha inapanda aa presha inashuka msijitie ujuzi kulitabiri penzi letu ninyi ni watu wala sio mungu amji hatma yetu,mapenzi hayana mjanja c komando wala jemedari, kwenye mapenzi anatulia,mctujalie tunapendana,hata kama sina gari mwenyewe kanikubali
ACHEN TUJINAFASI
KARIBU UANACHAMA WA CCJ FANYA HARAKA
CCJ KWA MAENDELEO YAKO
wapambe presha inapanda aah presha inashuka pressha inapanda aa presha inashuka msijitie ujuzi kulitabiri penzi letu ninyi ni watu wala sio mungu amji hatma yetu,mapenzi hayana mjanja c komando wala jemedari, kwenye mapenzi anatulia,mctujalie tunapendana,hata kama sina gari mwenyewe kanikubali
ACHEN TUJINAFASI
KARIBU UANACHAMA WA CCJ FANYA HARAKA
CCJ KWA MAENDELEO YAKO