Wanyarwanda kumi pekee ndio wanaompinga Kagame

Wanyarwanda kumi pekee ndio wanaompinga Kagame

Kings wewe Huwezi linganisha ka wilaya na nchi. Huyo Javanese wenye ni Sawa na chupi. Huwezi kumuuzia mtu. Huyo hatoki tena mpaka kidogo monitor hapo. Uongo mtupu anaua wahutu kill a siku walio asilimia 80 leo anasema ni watu kumi tu wamempinga. This is a joke of the year. Poleni sana
 
Kusema ukweli mimi ni mpitaji tu hapa Rwanda lakini hupita mara mbili kila baada ya miezi 3 na hulala hapa ili kuamkia safari yangu yakuja huku niliko...... ngoja niseme ukweli wa yale nimeona hapa Kigali.. huko vijini sijui

1. Sheria inafuatwa kweli kweli, hasa kwa askari wote na zaidi wa barabarani
2. Raia wanatii amri bila ya shurti
3. Usalama uko bien sana, waweza tembea hata usiku huku uki browse tablet yako, au martphone yako
4. kuuliza ni bure, ukiwa na shida uliza yeyote atakusaidia ,
5. boda boda ziko registered, helmet na vikoti vina namba hizo,, kubeba abiria bila helment ni shida kubwaaa sana
6. Mahotelini wanajua sana customer care.... wako very clear, na kwa sauti tulivu hasa akina dada,
7. Sina takwimu lakini idadi ya akina dada police ni wengi
8. Usafi wa mji ndio usiseme,, labda huko vijini, ila kutoka Kigali mpaka Gisenyi mpka wa Rwanda na DRC barabara inafagiliwa na mwendo wa masaa 3 kwa gari ndogo... sihadithiwi napita hapa.
9. Na si kweli kwamba kuna tatizo baina ya raia wa rwanda na Tanzania,, mimi hapa nikiongea tu wananitambua kuwa ni MTZ na sijawahi pata shida kabisa..... hayo ya wakubwa wala sina haja kuyajua wala kuyangilia nimezungumza kama raia wa kawaida kabisa
 
Kulingana na UNDP data Tanzania poverty rate ni 65.6%
About Tanzania | UNDP in Tanzania

1. We are talking about Rwanda here not Tanzania. Nobody anashinda JF claiming Tanzania kuna maendeleo.
2. Sipingani na UNDP, lakini nakushangaa kwa sababu the same UNDP you have referenced here conducted the census in Rwanda in 1991....we all know how you feel about that. Nakushauri utafute chanzo kingine tutakapokuwa na mijadala mingine, kwa sababu hiki chanzo cha UNDP wewe ulisha ki discredit zamani sana. :biggrin1:
 
Kusema ukweli mimi ni mpitaji tu hapa Rwanda lakini hupita mara mbili kila baada ya miezi 3 na hulala hapa ili kuamkia safari yangu yakuja huku niliko...... ngoja niseme ukweli wa yale nimeona hapa Kigali.. huko vijini sijui

1. Sheria inafuatwa kweli kweli, hasa kwa askari wote na zaidi wa barabarani
2. Raia wanatii amri bila ya shurti
3. Usalama uko bien sana, waweza tembea hata usiku huku uki browse tablet yako, au martphone yako
4. kuuliza ni bure, ukiwa na shida uliza yeyote atakusaidia ,
5. boda boda ziko registered, helmet na vikoti vina namba hizo,, kubeba abiria bila helment ni shida kubwaaa sana
6. Mahotelini wanajua sana customer care.... wako very clear, na kwa sauti tulivu hasa akina dada,
7. Sina takwimu lakini idadi ya akina dada police ni wengi
8. Usafi wa mji ndio usiseme,, labda huko vijini, ila kutoka Kigali mpaka Gisenyi mpka wa Rwanda na DRC barabara inafagiliwa na mwendo wa masaa 3 kwa gari ndogo... sihadithiwi napita hapa.
9. Na si kweli kwamba kuna tatizo baina ya raia wa rwanda na Tanzania,, mimi hapa nikiongea tu wananitambua kuwa ni MTZ na sijawahi pata shida kabisa..... hayo ya wakubwa wala sina haja kuyajua wala kuyangilia nimezungumza kama raia wa kawaida kabisa

Hayo yote ni kweli. Sidhani kama kuna mtu anabisha hayo. Lakini je tuambie maji yapo au hayapo kwa miezi kama inavyoandikwa na GAZETI LA SERIKALI YA RWANDA?
 
Hayo yote ni kweli. Sidhani kama kuna mtu anabisha hayo. Lakini je tuambie maji yapo au hayapo kwa miezi kama inavyoandikwa na GAZETI LA SERIKALI YA RWANDA?

hakuna nchi Africa yaweza pita kifua mbele kwa hili maji ni tatizo la dunia,, lakini pia yaweza kua si kila siku kuna tatizo la maji maybe ilikua ni siku maalumu ndo maana hata ikaripotiwa . kumbuka rwanda ni vilima na kuna chemchem nyingi sana ....
 
hakuna nchi Africa yaweza pita kifua mbele kwa hili maji ni tatizo la dunia,, lakini pia yaweza kua si kila siku kuna tatizo la maji maybe ilikua ni siku maalumu ndo maana hata ikaripotiwa . kumbuka rwanda ni vilima na kuna chemchem nyingi sana ....

Tusibishane sana, gazeti la serikali, the east african, mimi na walio Kigali tunasema hakuna maji kigali for months, mpaka picha zimewekwa. Ila kama bado hatukubaliani tufanye maji yapo, magazeti yao ya serikali yao ndio waongo kama alivyosema Stefano Mtangoo
 
Back
Top Bottom