Wanyarwanda kumi pekee ndio wanaompinga Kagame

Wanyarwanda kumi pekee ndio wanaompinga Kagame

jMali kwa nini wapenda kusema uongo? Kigali ipi ambayo mwezi wa saba sasa hakuna maji?
 
Last edited by a moderator:
Lakinimkuu mbona haya ni matatizo yanchi nyingi tu hapa Africa. Hata hapo Dar Kuna beggars wanalala. Street kwahiyo sioni ajabu.bado hujanishawishi. Tuseme tu ukweli Kagame ameisaidia sana kuibadilisha Rwanda.

Kusaidia sana haimaanishi hakuna mwingine anayeweza.

Kuna wisdom kwenye kupokezana vijiti.
 
Lakinimkuu mbona haya ni matatizo yanchi nyingi tu hapa Africa. Hata hapo Dar Kuna beggars wanalala. Street kwahiyo sioni ajabu.bado hujanishawishi. Tuseme tu ukweli Kagame ameisaidia sana kuibadilisha Rwanda.

Mi sijadai Dar hakuna mambo kama hayo. Ninachotaka ni kuweka rekodi straight kuwa Kigali sio London. Hayo maendeleo unayodai umeyaona ni kitu gani hasa? Mnashangaa usafi na magorofa halafu mnasema ndio maendeleo, what exactly ni maendeleo kwako? Burundi poverty level ni 66%, Rwanda ni 63%, there goes "maendeleo". Burundi wakiongeza only 3% na wenyewe watakuwa na maendeleo kama Rwanda au sio?
 
jMali kwa nini wapenda kusema uongo? Kigali ipi ambayo mwezi wa saba sasa hakuna maji?

Kigali hii kwenye hizi links zifuatazo. Kama mimi muongo, je wewe unaongelea kigali ipi unayesema "ukweli"?

1. "Five months without water
Aline Umutoni, a resident of Busanza, said they have been affected by the persistent water shortage in the area.
"We sometimes hear about other people in Kigali complaining that they don't have water for one or two days only, but in this region we can go for five months or more without water in the public taps," Ms Umutoni said. "
soma zaidi humu: Kigali residents decry persistent shortage of water - News

2.




source: http://www.rdirwandarwiza.com/kigal...y-in-rwanda-capital-city-kigali-wasac_rwanda/


3. http://www.newtimes.co.rw/section/article/2015-02-10/185817/
 
jMali nataka uwe exact wapi hakuna maji. Ni Kacyiru Nyabugogo Muhima Nyamirambo Cimirongo Remera au sehemu ipi ya Kigali? Hizo link wape watu wengine. Taarifa hizi sio za kweli
 
Last edited by a moderator:
jMali nataka uwe exact wapi hakuna maji. Ni Kacyiru Nyabugogo Muhima Nyamirambo Cimirongo Remera au sehemu ipi ya Kigali? Hizo link wape watu wengine. Taarifa hizi sio za kweli

Ungezisoma kwanza hizo link then ujue zimetokea gazeti gani ndo useme si za ukweli, mimi hata kama nimedandia basi kwa mbele naamini sana magazeti ya The EastAfrican wanakuwa hawanaga shobo
 
Ninachotaka ni kuweka rekodi straight kuwa Kigali sio London. Hayo maendeleo unayodai umeyaona ni kitu gani hasa? Mnashangaa usafi na magorofa halafu mnasema ndio maendeleo, what exactly ni maendeleo kwako? Burundi poverty level ni 66%, Rwanda ni 63%, there goes "maendeleo". Burundi wakiongeza only 3% na wenyewe watakuwa na maendeleo kama Rwanda au sio?

Maendeleo inabidi yawe ya watu wote wakiwemo wavaa yebo yebo na ndala
Kagame policy is to change Kigali into a high class city where only high class people live by chasing away from the city centre poor people, small businessmen and women (Machinga,mama nitile na wafanyabiashara ndogo ndogo) .This is very unfair.Their is no elite city in east Africa except the one Kagame wants to create at the expense of the poor people who used to earn their living in the city centre.Go any city in many african countries poor people are there in the city centre earning their living through petty trading.

Kagame kaumiza sana maskini na watu kujipatia vipato kigali kwa kutaka wenye nacho ndio wawe wenye kigali.Wavaa yebo yebo waonekane watu wa kuja na foreigners kigali.
 
Kusaidia sana haimaanishi hakuna mwingine anayeweza.

Kuna wisdom kwenye kupokezana vijiti.

Wewe sio wa kutuchgulia. Sahani yako imejaa....chagueni kwanza mafisadi huko kwenu watakaoiuza nchi mkimaliza ndo muanze kuingilia ya wenzenu
 
jMali
Lakinimkuu mbona haya ni matatizo yanchi nyingi tu hapa Africa. Hata hapo Dar Kuna beggars wanalala. Street kwahiyo sioni ajabu.bado hujanishawishi. Tuseme tu ukweli Kagame ameisaidia sana kuibadilisha Rwanda.

You are lacking exposure bro.
 
Last edited by a moderator:
jMali nataka uwe exact wapi hakuna maji. Ni Kacyiru Nyabugogo Muhima Nyamirambo Cimirongo Remera au sehemu ipi ya Kigali? Hizo link wape watu wengine. Taarifa hizi sio za kweli

Mkuu nimekuwekea links kutoka :
1. Gazeti la serikali ya Rwanda, New times Rwanda.
2. Gazeti la the east african. Ambalo kama hujui ni gazeti rafiki sana kwa Rwanda.

Sasa kama unabishana na "Dailynews" ya Rwanda kwenye habari za Rwanda, basi sawa, tufanye umeshinda, tufanye Kigali ina maji tena tele! Hawa the east african na New times wamelipwa na FDLR, RNC, Interahamwe, jmali....
 
Maendeleo inabidi yawe ya watu wote wakiwemo wavaa yebo yebo na ndala
Kagame policy is to change Kigali into a high class city where only high class people live by chasing away from the city centre poor people, small businessmen and women (Machinga,mama nitile na wafanyabiashara ndogo ndogo) .This is very unfair.Their is no elite city in east Africa except the one Kagame wants to create at the expense of the poor people who used to earn their living in the city centre.Go any city in many african countries poor people are there in the city centre earning their living through petty trading.

Kagame kaumiza sana maskini na watu kujipatia vipato kigali kwa kutaka wenye nacho ndio wawe wenye kigali.Wavaa yebo yebo waonekane watu wa kuja na foreigners kigali.

....Kibaya zaidi wavaa yeboyebo majority ni kabila moja, wavaa suti ni minority wa kabila lake. Halafu analazimisha kuwa hakuna ukabila wote ni "wanyarwanda tu"!
 
Ungezisoma kwanza hizo link then ujue zimetokea gazeti gani ndo useme si za ukweli, mimi hata kama nimedandia basi kwa mbele naamini sana magazeti ya The EastAfrican wanakuwa hawanaga shobo

mkuu wacha The East African, mojawapo ya hizo links ni kutoka GAZETI LA SERIKALI YA RWANDA, new times! Lakini bado mbongo anabisha, mi nachokaga kweli....
 
mkuu wacha The East African, mojawapo ya hizo links ni kutoka GAZETI LA SERIKALI YA RWANDA, new times! Lakini bado mbongo anabisha, mi nachokaga kweli....
Mi nawahurumia waliopinga, wao na familia zao risasi zinawangoja
 
Mkuu nimekuwekea links kutoka :
1. Gazeti la serikali ya Rwanda, New times Rwanda.
2. Gazeti la the east african. Ambalo kama hujui ni gazeti rafiki sana kwa Rwanda.

Sasa kama unabishana na "Dailynews" ya Rwanda kwenye habari za Rwanda, basi sawa, tufanye umeshinda, tufanye Kigali ina maji tena tele! Hawa the east african na New times wamelipwa na FDLR, RNC, Interahamwe, jmali....
Sawa boss. Ila ujue hizo habari sio za kweli! Ila anayetaka kuamini ni hiyari yake.
 
....Kibaya zaidi wavaa yeboyebo majority ni kabila moja, wavaa suti ni minority wa kabila lake. Halafu analazimisha kuwa hakuna ukabila wote ni "wanyarwanda tu"!
ok! kwa hiyo yule colleague wako wa zamani Rwarakabije ni mvaa yeboyebo? wee unatatizo la ukabila sana jMali, tena inatokana na zile damu mlizokunywa 94! huku kwenu siku hizi huwezi kujuwa Mhutu au Mtutsi ni nani, sasa hayo umeyatoa wapi? punguza uchawi jMali...halafu leo Kagame bungeni kasema kesha anza kuwashughulisha waingeleza kwa upumbavu wao wa kuwasilikiza nyie Interahamwe... mtalia sana lakini hivi kila mtu anaanza kuwaona nuksi, mnawapatisha mshikemshike sana kwa mambo yasiyoeleweka... mtalia hadi machozi yakauke na bado
 
Mkuu inaonyesha unapenda sana mambo ya Rwanda, maana kila nikipita hapa lazima nikute hayo mambo na wewe ndiyo mchangiaji mkubwa in a negative way. Kwanini? Mimi nauliza tu!
Usijali, huyu ni Mnyarwanda anatumiwa na yale makundi tunayopenda kuyaongelea na analipwa jamaa yuko kazini:
Ukweli critics siyo mbaya sana sana kwenye nchi hizi zetu ambako bado tuna mengi yakufanya.
lakini ukitaka kujua who is this person angali nature ya critics zake yeye kila mara ana base on ethnic na wala siyo mfumo (system).
Amepiga kelele kweli eti Kigali ina miezi saba bila maji, lakini nina imani kuna members humu, tena wengi ambao either kwa sasa wako Kigali au wametoka hivi karibuni na wanajua ukweli wa mambo.
Kuna wa Tanzania wengi wanaishi Kigali ukweli huu wanaujuwa sisi tumemuignore.
Atleast kwa walio Kigali wanaweza kutoa ushahidi.
Rwanda siyo kama Ulaya lakini kama kwa sasa watu wana debate and compare it with some neighboring countries with lots of natural resources, wasomi wengi, nchi zinazojivunia amani since the independence, kwa nini watu wasishabikie...
People did n`t expect Rwanda to be the way it is now. and this was not automatic, hii ni kwa sababu ya uongozi mzuri.
Chukua mfano wa nchi nyingine zilikutana na machafuko au vita kama Rwanda, mfano ni Sierra Leone,Liberia,Somalia etc. mpaka sasa hivi they are still struggling:
 
Mi sijadai Dar hakuna mambo kama hayo. Ninachotaka ni kuweka rekodi straight kuwa Kigali sio London. Hayo maendeleo unayodai umeyaona ni kitu gani hasa? Mnashangaa usafi na magorofa halafu mnasema ndio maendeleo, what exactly ni maendeleo kwako? Burundi poverty level ni 66%, Rwanda ni 63%, there goes "maendeleo". Burundi wakiongeza only 3% na wenyewe watakuwa na maendeleo kama Rwanda au sio?
Kulingana na UNDP data Tanzania poverty rate ni 65.6%
About Tanzania | UNDP in Tanzania
 
Back
Top Bottom