Wanunuzi wa Tangawizi

Wanunuzi wa Tangawizi

Godfrey Jason

Member
Joined
Apr 23, 2018
Posts
11
Reaction score
0
Habari zenu?
Naomba kupata updates za bei ya tangawizi mwaka huu sokoni na pia kama kuna mdau humu ni mnunuzi au anaweza kunionganisha na wanunuzi wa uhakika.

Shukrani sana
 
Habari zenu?
Naomba kupata updates za bei ya tangawizi mwaka huu sokoni na pia kama kuna mdau humu ni mnunuzi au anaweza kunionganisha na wanunuzi wa uhakika.

Shukrani.
Mkuu salama.
Tangawizi katika soko la Dunia ni kuanzia Dola 3500 mpaka $7000 kwa kilo 1000 (one tone)
Je unazo kiasi gani??
figure_5_2.jpg
 
Mkuu salama.
Tangawizi katika soko la Dunia ni kuanzia Dola 3500 mpaka $7000 kwa kilo 1000 (one tone)
Je unazo kiasi gani??View attachment 759795
Shukrani kwa update Mkuu. Tangawizi yangu bado iko shambani, matarajio yangu kuitoa kwa ajili ya kuuza mwezi wa sita mwishoni au wa saba. Nimelima kekari kama 2 na nusu, na nategemea kuvuna mpaka tani 10 na kuendelea.
 
Mkuu salama.
Tangawizi katika soko la Dunia ni kuanzia Dola 3500 mpaka $7000 kwa kilo 1000 (one tone)
Je unazo kiasi gani??View attachment 759795
Shukrani kwa update Mkuu. Tangawizi yangu bado iko shambani, matarajio yangu kuitoa kwa ajili ya kuuza mwezi wa sita mwishoni au wa saba. Nimelima kekari kama 2 na nusu, na nategemea kuvuna mpaka tani 10 na kuendelea.
 
kwa tangawizi inategemea msimu kama mwezi wa kwanza soko lipo congo ila kwa sasa unaweza peleka zambia
 
Back
Top Bottom