Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
[h=3]Wantanzania 29 wakwama Saudi Arabia[/h] Kuna watanzania 29 ambao wamekwama baada ya kuachwa na ndege kwa uzembe wa Kiongozi wa msafara wao. Leo hii ninavyoandika habari hii, imekuwa ni siku ya Tatu Watanzania hao hawajui hatima ya msafara wao, Kila wakienda uwanja wa Ndege wanaambiwa bado tunashughulikia.
Imefikia mpaka kiongozi waliokuwa naye, amekata tamaa, hawa watanzania wamenyang'anywa passport zao za kusafiria na wanakaa kama watumwa. Inabidi ieleweke wazi kuwa watoto, familia, ndugu, na jamaa wa hizi familia wana wasiwasi mkubwa, kwani wanaweza kuhisi kuwa ndugu hawa wamekanyagwa na kufa/ama kutokewa na jambo baya.
Imefikia mpaka kiongozi waliokuwa naye, amekata tamaa, hawa watanzania wamenyang'anywa passport zao za kusafiria na wanakaa kama watumwa. Inabidi ieleweke wazi kuwa watoto, familia, ndugu, na jamaa wa hizi familia wana wasiwasi mkubwa, kwani wanaweza kuhisi kuwa ndugu hawa wamekanyagwa na kufa/ama kutokewa na jambo baya.