kisasangwe
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 292
- 56
hawa manesi wauguzi, wakunga wetu humu mahospitalini.... wanatatiza
mfano.. ishu ya mtoto mchanga baada ya kuzaliwa ile omniotic fluid ikipata hewa inaganda hasa kichwani (utosini) wao humtuhumu mama aliejifungua kua alikua anashiriki chakula cha usiku hadi anakaribia, na kwamba hizo ni sperm. nijuavyo mimi kwenye mfuko ule hapapenyi kitu na ndio maana hata mama mwenye ukimwi hawezi kumwambukiza mwanae ila pale tu wakati wa kujifungua. matokeo yake ni kwamba wanawake wengi wanahofia sana wakiwa kwenye trimister ya mwisho.
but i heard from one dr kua hizi nani hii husaidia kupata zile contraction haraka kwa waliotimiza time za kujifungua... hapa sasa kwanini wanaomsikiza nesi na dr wasipate utata??? huyu usifanye huyu fanya. na mara nyingi manes ndo wanainteract na hawa kina mama zaidi.
mhhh huku kwetu uswahilini manesi huwachimba biti waliojifungua kua wasitoe pipi hadi watoto wawe na miezi kadhaa.... eti utambemenda mtoto. mie SIJAPATA UHUSIANO HAPO. na please mwenye maelezo ya hii ishu ya kubemenda atoe msaada wa elimu hapo.
kitaalam fistula ni matokeo ya uchungu wa muda mrefu na hisababisha kulegea kwa vishipa flaniflani. ila huko vijijini mh tafsiri yake ni mbaya sana. wanaihusisha na mtu ku do kinyume na maumbile. sasa hapo kwanini mama asijifiche ndani bila kwenda hosp.
nasema wanatatiza tena sana.
mfano.. ishu ya mtoto mchanga baada ya kuzaliwa ile omniotic fluid ikipata hewa inaganda hasa kichwani (utosini) wao humtuhumu mama aliejifungua kua alikua anashiriki chakula cha usiku hadi anakaribia, na kwamba hizo ni sperm. nijuavyo mimi kwenye mfuko ule hapapenyi kitu na ndio maana hata mama mwenye ukimwi hawezi kumwambukiza mwanae ila pale tu wakati wa kujifungua. matokeo yake ni kwamba wanawake wengi wanahofia sana wakiwa kwenye trimister ya mwisho.
but i heard from one dr kua hizi nani hii husaidia kupata zile contraction haraka kwa waliotimiza time za kujifungua... hapa sasa kwanini wanaomsikiza nesi na dr wasipate utata??? huyu usifanye huyu fanya. na mara nyingi manes ndo wanainteract na hawa kina mama zaidi.
mhhh huku kwetu uswahilini manesi huwachimba biti waliojifungua kua wasitoe pipi hadi watoto wawe na miezi kadhaa.... eti utambemenda mtoto. mie SIJAPATA UHUSIANO HAPO. na please mwenye maelezo ya hii ishu ya kubemenda atoe msaada wa elimu hapo.
kitaalam fistula ni matokeo ya uchungu wa muda mrefu na hisababisha kulegea kwa vishipa flaniflani. ila huko vijijini mh tafsiri yake ni mbaya sana. wanaihusisha na mtu ku do kinyume na maumbile. sasa hapo kwanini mama asijifiche ndani bila kwenda hosp.
nasema wanatatiza tena sana.