wangoni wana nini jamani??


Hahahahahaaa! Majina ya wanyama yalitolewa ili kuhifadhi wanyama maana walielekea kwisha kwa kuwindwa. So, akina tembo walikuwa hawali nyama ya tembo kwani ni kama ndugu yao, so, eneo la kina tembo, mnyama tembo aliweza kusalimika, eneo la kina Simba, mnyama simba aliweza kusalimika, nk.
 
bwana nguruwe
you call him nguruwe no lazima u call bwana nguruwe
 
Mmenigusa hapo mana mie ni mngon wa damu, na bibi yangu anaitwa nambuz! Huwa nyama ya mbuz hagus, ila sie vjana bongo flava hata hatujali.
 
Kumbe tupo wengi hapa JF..........................Usisahau upande waziwani Lituhi........Manda na Ndumbi etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…