Mwailongola
Member
- Nov 29, 2018
- 29
- 38
Hahahahahaaaisee umenikumbusha mbali sana...kuna wifi yenu mmoja alikuwaga mgoni basi wakati wa kula yale mambo yetu nisipomfunika na mto usoni hizo kelele zake mixer kilio unaweza kujaza majirani wakijua kuna msiba
#Kunjani kuti
Hii hata mimi nimeipata: mmetembeatembeaa, hapa mmefikamugendili gendili hapa muhikili
Ulwala wengaWamatengo are sneaky hawafai..
Katika jamii za Kibantu tumelelewakatika maisha ya utandi uliyosaidia kuleta udugu na utengamano na umoja wataifa hili na kuondoa ukabila! Nachotaka kusema watani zangu Wangonina Wamatengo ukiwapapesa wanafikisha, ila ukimpatia mwanamke imekula kwako! tatizo lingineWamatengo wanatofauti na wamatengo, ila hata wamatengo nao wanajifanya Wangonihapo wananiacha hio! Wana JF hebu tuambie kabila la watani zako wanasifagani maarufu?
Asanteeeeeeeeee.
SWewe jamaa upo sahihi 100%. Imenikuta hyo,nimemsaliti demu wa kingoni.. Aiseee!! Nimejuta,kanidhalilisha,kanitia aibu haswa.. Kaja kwangu bila kitu chochote lakini nilishangaa familia yao ilipodai kuwa amechuma kila kitu na mimi,mara ananidai milioni 1,mara wakaanza kupiga simu upande ulionifanya nimwache kuwa wasimruhusu bint awe na mimi kwa 7bu bado hatujagawana mali. Nilifadhaika sana,tena sana! Wangoni watu wabaya sana! Wafupi lakin wana visasa vya kinyama,hawakubali yaishe hv hv,nahc wanaweza hata kukuroga uzazi wale!
mkuu mbonaumetumia jina langu hapo la mwanja? mpitimbi kumadukani njokakati mseo muungano au mkurumusi?Mkoto kutikinila tete,mwanja tivatova!pa mitu genupo.
manengelo unasemaje kuhusu hili?
Wewe siyo Mngoni?
usijaliSawa. Sorry!
Hava vasidili ,muda woa vipara nguma itamaa palisani