Wangapi wanawajua wanamziki "MAKOMA"?!

Na yesu masiah
Eeeh
Wakaka walivyokuwa wanarap

Pia niliwahi sikia kuwa yule Dada dume aligongwa akafariki
 

Nikiwasikiaga makoma, nakumbuka mbali sana.....maisha haya, acha yawe tu
 
Unawaongelea ''Makoma'' unawafahamu ''KAOMA'' ?
 
mimi nawajua kipindi nipo mdogo kama miaka kamam 4 hivi mzee alikuwa anatusikilizisha hadi akaaamua kutununulia kanda yake zile za utumbo amabazo zina side ikiisha unaweka side b ...naikubali sana nyimbo karibia zore tukianzia ...napesi, butu na moi, na ile yote majina nimeyashau
 
Hatareeee πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…