Wangapi wanataka kuokoka inueni mikono

Wangapi wanataka kuokoka inueni mikono

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
MCHUNGAJI alikuwa anawaombea waumini wake akauliza;
MCHUNGAJI: Wangapi wanataka kuokoka inueni mikono niwaombee.....hakuna aliyeinua mkono. Tajiri mmoja akapita mbele na kupanda madhabauni na kutangaza
Tajiri: Jamani mchungaji anasema wanaotaka kuokoka wanyanyue mikono juu jamani.....mtoto mmoja peke yake akanyanyua mkono, tajiri akatoa laki tatu mfukoni akampa yule mtoto.
Tajiri: Haya jamani ninaomba nirudie tena niwaombe wanaotaka kuokoka wanyooshe mikono juu ili Mchungaji atuombee.....watu wote wakanyanyua mikono juu, tajiri akamgeukia Mchungaji ili awaombee akakuta na mchungaji nae kanyanyua mkono juu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom