Wangapi mnamuelewa mwalimu Google?

Rhz4567

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2018
Posts
5,268
Reaction score
7,191
Naamini wanaJF wengi mtakuwa mnamjua huyu jamaa huko mitandaoni hasa YouTube.

Mwalimu google ni nguli mchambuzi wa maswala ya siasa za kimataifa na siasa na Tanzania,haamini katika mfumo wa democrasia.

Haamini kama ardhi ya watanzania ni mali ya watanzania,katiba zote ni mbovu hii ya sasa na ya warioba zote hazifai.

Tuelimike tusiwe wasomi,ardhi ya Tanzania haiuzwi!
 
NIlishamsikiliza na yule mwenzake anaitwa dj sma, wana uchambuzi wa kichawa... huwezi kuikosoa hii serikali wakaacha ku deal na wewe , hii inafanya wachambuzi wengi wawe machawa...
 
Shida ya Mwalimu google anaona anajua kuliko wote wakati hajui. Siku aliposema siku akiwa rais Kuna watu lazima awaue nikaacha kumsikiliza. Yupo entitled sana. Halafu yeye Kila baya ni marekani na NATO.
 
Shida ya Mwalimu google anaona anajua kuliko wote wakati hajui. Siku aliposema siku akiwa rais Kuna watu lazima awaue nikaacha kumsikiliza. Yupo entitled sana. Halafu yeye Kila baya ni marekani na NATO.
Kiufupi jamaa ni kilaza ila yupo entitled sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…