Bawabu wa pili
Senior Member
- Nov 14, 2025
- 147
- 432
Wanetu mnasemaje? Kaomba radhi kweli au kachamba umbea? JUMA, sisi na wewe tumepita wapi? Sisi na wewe hatujapitia chochote. Kwanza hiyo AFRIMA ni kitu gani ili tuanze kusaga kunguni mapema
Staa wa muziki wa Bongo Fleva Juma Jux amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu kauli iliyosambaa mwaka jana aliyoizungumza msanii Diamond wakiwa wote kwenye gari yeye pamoja na wasanii wengine fanyeni kazi acheni kulalamika.
"Vitu vinatokea lakini sitaki kurudisha vya nyuma naweza nikasema mtoto akinyea mkono huwezi kuukata unasafisha unaendelea na maisha mengine vilivyotokea vimetokea,inawezekana Kuna watu hawakupendezwa na kauli hiyo ila sasa tutafanyaje na mambo yameshapita tayari "Alisema Jux
Staa wa muziki wa Bongo Fleva Juma Jux amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu kauli iliyosambaa mwaka jana aliyoizungumza msanii Diamond wakiwa wote kwenye gari yeye pamoja na wasanii wengine fanyeni kazi acheni kulalamika.
"Vitu vinatokea lakini sitaki kurudisha vya nyuma naweza nikasema mtoto akinyea mkono huwezi kuukata unasafisha unaendelea na maisha mengine vilivyotokea vimetokea,inawezekana Kuna watu hawakupendezwa na kauli hiyo ila sasa tutafanyaje na mambo yameshapita tayari "Alisema Jux