CHAI CHUNGU JF-Expert Member Feb 20, 2012 7,113 930 Feb 22, 2012 Thread starter #3 white wizard said: chelsea alifungwa mabao 3-1. Click to expand... Poa mkuu! Ngoja nikapige laga sasa!maana nina machungu sana.
white wizard said: chelsea alifungwa mabao 3-1. Click to expand... Poa mkuu! Ngoja nikapige laga sasa!maana nina machungu sana.
white wizard JF-Expert Member May 18, 2011 8,321 13,288 Feb 22, 2012 #4 mandieta said: Poa mkuu! Ngoja nikapige laga sasa!maana nina machungu sana. Click to expand... Kaka kwa timu ile,ndio bac tena,kwani uwezekano kwa kumfunga bao 2-0 ni mgumu,wale vijana nuksi!
mandieta said: Poa mkuu! Ngoja nikapige laga sasa!maana nina machungu sana. Click to expand... Kaka kwa timu ile,ndio bac tena,kwani uwezekano kwa kumfunga bao 2-0 ni mgumu,wale vijana nuksi!
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Feb 20, 2012 7,113 930 Feb 22, 2012 Thread starter #5 white wizard said: Kaka kwa timu ile,ndio bac tena,kwani uwezekano kwa kumfunga bao 2-0 ni mgumu,wale vijana nuksi! Click to expand... Unazidi kuniua mkuu!!!ishiiiiiiiiii.ishia hapo hapo.Hatuna timu uwiiii!
white wizard said: Kaka kwa timu ile,ndio bac tena,kwani uwezekano kwa kumfunga bao 2-0 ni mgumu,wale vijana nuksi! Click to expand... Unazidi kuniua mkuu!!!ishiiiiiiiiii.ishia hapo hapo.Hatuna timu uwiiii!
Kigogo JF-Expert Member Dec 14, 2007 20,508 6,146 Feb 22, 2012 #6 DUDU JEUSI said: Unazidi kuniua mkuu!!!ishiiiiiiiiii.ishia hapo hapo.Hatuna timu uwiiii! Click to expand... hahaaa timu unayo tatizo kocha ana mbinu chakavu
DUDU JEUSI said: Unazidi kuniua mkuu!!!ishiiiiiiiiii.ishia hapo hapo.Hatuna timu uwiiii! Click to expand... hahaaa timu unayo tatizo kocha ana mbinu chakavu
Wkaijage Senior Member Feb 14, 2012 195 13 Feb 22, 2012 #7 Mwambie kocha astaaf. Kama vp hamia Real Madrid.
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Feb 20, 2012 7,113 930 Feb 22, 2012 Thread starter #8 siwezi mie damu yangu ni chelsea!!!
dubu JF-Expert Member Oct 18, 2011 3,496 3,461 Feb 22, 2012 #9 chelsea ndo ilikuwa ya kwanza kufunga dakika ya 32 halafu. lakini mwisho wa siku ili lala kwa kufungwa goli 3 kwa moja.
chelsea ndo ilikuwa ya kwanza kufunga dakika ya 32 halafu. lakini mwisho wa siku ili lala kwa kufungwa goli 3 kwa moja.