Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,405
Acha kupanic,namaanisha ile miguu yako ya bandia ya kuchezea mpira uliyonunuaga Italy!Miguu gani mbona kama sikuelewi vile
Acha kupanic,namaanisha ile miguu yako ya bandia ya kuchezea mpira uliyonunuaga Italy!Miguu gani mbona kama sikuelewi vile
Yanga ipi hiyo....hii hii ya kichovu ambayo wanachama wake hawajuwi mpira? Chezea Namungo weyeee, utapigwa vidole hadharani, alaaaaaa.Achaneni na Simba jana wamecheza na team Dhaifu. Sisi leo tunamchakaza Namungo macho makavu kabisa. Miundo mbinu imeshafanyika analala kwa Bao 3-0 mapema tu.
Namungo hamna kitu hapa. Hawa tunawamudu sana. Tunawagonga tatu na point zetu 3 tunajishindilia kileleni. Mwaka huu Kombe letu. Piga ua garagaza, ponda ponda...saga kabisa choma moto. Ubingwa ni wa Yanga. Tunacheza ndani na nje ya Uwanja.
Daima mbele....nyuma mwiko.
usiogope kudhubutu, weka ten utengeneze twentySawa sawa mkuu, ila yangu mimi sijui kama ntaituma aisee😀😀 ,ila let's wait and see💪
Kitombiiiiiiiiiii pesa unanitumia saa ngapi!😀😀 I told youuu lkn Kitombise Yanga hiyoo.usiogope kudhubutu, weka ten utengeneze twenty
Tuma mpunga huo kitombi wewe, miye wala mbona tulibet 10 10.kwakuwa mmyenyewe uliogopa kuweka betting bas tuipitishe free...
hongereni YANGA
labda nkitumie 5kTuma mpunga huo kitombi wewe, miye wala mbona tulibet 10 10.
ila hili jina lako kuliita raha, morning Kito..😀
Every shilling counts mkuu..., ila usijali nilikua natania tu.labda nkitumie 5k
thanksEvery shilling counts mkuu..., ila usijali nilikua natania tu.