Wanayanga wenzangu. Shangilieni Tuna Bao 3-0 mpaka sasa Tumeshatengeneza Miundombinu Namungo Chali

Achaneni na Simba jana wamecheza na team Dhaifu. Sisi leo tunamchakaza Namungo macho makavu kabisa. Miundo mbinu imeshafanyika analala kwa Bao 3-0 mapema tu.

Namungo hamna kitu hapa. Hawa tunawamudu sana. Tunawagonga tatu na point zetu 3 tunajishindilia kileleni. Mwaka huu Kombe letu. Piga ua garagaza, ponda ponda...saga kabisa choma moto. Ubingwa ni wa Yanga. Tunacheza ndani na nje ya Uwanja.

Daima mbele....nyuma mwiko.
Yanga ipi hiyo....hii hii ya kichovu ambayo wanachama wake hawajuwi mpira? Chezea Namungo weyeee, utapigwa vidole hadharani, alaaaaaa.
 
Back
Top Bottom