mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,698
- 9,051
kuna watu wana maneno
Teh wapi hao
kuna watu wana maneno
inategemeana na jinsi unajiamini tu. ila ukijiona uko tofauti na hasa kama wewe hivi unavyofikiri wanawake wenzio wengine ni rambo na mabwawa, utakuja kukuta wewe ndio hovyo kabisa ila wenzio ndio mnatoo. utofauti ya wanawake ni umnato na heshima tu. umnato unatokana na kama umejitunza au la au kama unafanya mazoezi au la. sio umezaa halafu unajikalisha tu home unasubiri kuwekwa mtoto mwingine unanenepeanaaa na kufanya mazoezi kidogo hufanyi.Wenye rambo,bwaya na wenye kitu mmma ni sawa ????siamini n nadhani utamu wa pipi ni mate yako