Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,019
- 69,461
anhaa yule nanihii...siri yangu shem ila ukiwaza kidogo utajua tu lol
anhaa yule nanihii...siri yangu shem ila ukiwaza kidogo utajua tu lol
We ulitaka tu ujionyeshe.. Wameshakuonanaamiini nimeingia cha kike
yes shem, umepatia kabisaaaa
Bravooooo
jua vile nakupendaga maana huwa unaelewa haraka sana.
Hata wewe umeniona eeehWe ulitaka tu ujionyeshe.. Wameshakuona
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Haya sasa mwanaume Mwenye akili atakua ashaelewa hapa!!Wanawake wenzangu tuambiane kweli ya moyoni mwanaume yupi mwenye mvuto kwako wa humu jf?
Unavutiwa na nini kwake, tuwe wakweli na wa wazi.
Binfsi navutiwa sana na mapanga3, kinachonivutia ni namna anavyopost nilifanya juhudi binafsi mpaka nikabahati kumuona kiukweli ni mtu anayejielewa na mwenye msimamo sana nilijaribu kumchomekea mambo fulani kabla sijaolewa lkn akanijibu kwa upole im sorry nafasi imejaaa. Nawewe mwenzangu emu funguka.
Ooouh Yeah Shemjua vile nakupendaga maana huwa unaelewa haraka sana.
You are my big and smart shem
NitafuteMm huwa navutiwa na mwanaume mrefu halafu asiwe mweupe hapo moyo wangu kwatu.
Na kweli ina hatar zakeNaogopa kumzimikia mtu nisipoamka je
La gioconda hata mimi hujanizimikia?Naogopa kumzimikia mtu nisipoamka je
Da gar ndilo lenye uwezo wa kukuzimikia mie siwezLa gioconda hata mimi hujanizimikia?