Wanawake wenzangu, mwanaume si wa kushindana nae

Wanawake wenzangu, mwanaume si wa kushindana nae

Shmy

Senior Member
Joined
Aug 3, 2012
Posts
148
Reaction score
55
Kuamua kuchukua maamuzi ya kubadilisha wapenzi kila mara ili kushindana ex wako ni kujidharirisha tu. Mi naamini mwanamke ni kiumbe chenye staha kuliko mwanaume. Tafuta pesa kama habari ya mume mlilie Mungu atakupa atakuepusha na wanaume ambao si waaminifu.
 
Kuamua kuchukua maamuzi ya kubadilisha wapenzi kila mara ili kushindana ex wako ni kujidharirisha tu. Mi naamini mwanamke ni kiumbe chenye staha kuliko mwanaume. Tafuta pesa kama habari ya mume mlilie Mungu atakupa atakuepusha na wanaume ambao si waaminifu.
Muda wa kushindana na x wako...au mwanaume wako mtu unautoa wapi usawa wenyewe huu wa magufuli..
 
kushindana na EX alafu unashindana nae kubadili wapenzi ni dalili ya utoto. ukitulia utapata mtu stahiki we muache arube rube na wapenzi wapya hadi akongoroke we tafuta pesa tu, anashangaa unakuwa up to date na huna skendo za umalaya ndo atakumbuka maharage ni mboga hasa akiwa kaukwaa UKIMWI au kapata KIBIRITI NGOMA
 
Kuamua kuchukua maamuzi ya kubadilisha wapenzi kila mara ili kushindana ex wako ni kujidharirisha tu. Mi naamini mwanamke ni kiumbe chenye staha kuliko mwanaume. Tafuta pesa kama habari ya mume mlilie Mungu atakupa atakuepusha na wanaume ambao si waaminifu.
pole kwa kibuti!
 
Kuamua kuchukua maamuzi ya kubadilisha wapenzi kila mara ili kushindana ex wako ni kujidharirisha tu. Mi naamini mwanamke ni kiumbe chenye staha kuliko mwanaume. Tafuta pesa kama habari ya mume mlilie Mungu atakupa atakuepusha na wanaume ambao si waaminifu.

Good wewe umenena na mjitahidi kutunza bikra zenu wanaume tunaangalia historia zaidi anaeangalia sura ni wapita njia tu
 
Mapenzi bwana utata sana, hasa pale watu wakichokana ndo wanaachana kwa visasi hapo ndipo yanapoanza mashindano na kama mpo mtaa mmoja ndo kabisa..niliwah mwambia mpenz wangu ili usinitie aibu ukinichoka ondoka kimya we nambie tu nmekchoka utaona kama ntakutafuta..MWANAMKE STARA BWANA MASHINDANO YA NINI?G
 
Kuamua kuchukua maamuzi ya kubadilisha wapenzi kila mara ili kushindana ex wako ni kujidharirisha tu. Mi naamini mwanamke ni kiumbe chenye staha kuliko mwanaume. Tafuta pesa kama habari ya mume mlilie Mungu atakupa atakuepusha na wanaume ambao si waaminifu.
Tumekusikia mama
 
Yaani wangekuwa na akili km zako,wangefika mbali....ila tayari umetafuta bifu.
 
Kuamua kuchukua maamuzi ya kubadilisha wapenzi kila mara ili kushindana ex wako ni kujidharirisha tu. Mi naamini mwanamke ni kiumbe chenye staha kuliko mwanaume. Tafuta pesa kama habari ya mume mlilie Mungu atakupa atakuepusha na wanaume ambao si waaminifu.
Tafuta pesa. .nakuunga mkono kwa hilo walahi!
 
Back
Top Bottom