Wanawake wenye vitambi

ko umeamua kunisema live πŸ˜‚πŸ˜‚undugu wetu na uishe
Achana na huyu. We kakitambi kako ni flan amazing..lain lain ukikashika kana msisimko..kama vile vitambi kama vya wale wasukuma chapat
 
Hivi kuna kitambi cha uzazi? Unasema ukweli?
Sio wanawake wote wanaweza kubana matumbo baada ya kujifungua especially wanaojifungua kwa op. So kitambi kipo na kigumu kutoka ndio maana wengine wanaenda kufanya surgery ya kukitoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…