Wanawake wengine ni wa ajabu sana

Wanawake wengine ni wa ajabu sana

UWOGA=UMASKINI

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
2,400
Reaction score
1,017
Eti mwanamke anakuimbia kila siku nakupenda kisa mna long relationship such as 10yrs then badae mnakuwa mke na mume sasa huyu mwanamke anakuambia every day anakupenda na kweli kwenye ANAPENDA

NASEMA hivyo kwamba anapenda kweli according na kutosikia wala kusikia siku aliyocheat na pia tukitofautiana anakuwa kama anapata kichaa yaani ni kuzimia kwenda MBELE na siku hiyo atalia na atajifungia ndani hata siku mbili akiomba msamaha kwa makosa yaliyotokea ukimsamehe anafurahi balaaa

Makosa yenyewe yeye ndo unakuta anayafanya kuwa makubwa then akiwa anaomba msamaha utamsikia kwanini nifanye hivyi Mimi (yeye) ni mjinga nisamehe tu sitorudia TENA kukuudhi basi unamsamehe

Shida sasa ni pale anaposhindwa kuonyesha UPENDO wake kwa vitendo yaani unamletea Zawadi nzuri umejitahidi kununua kwa gharama utasikia atakuambia tu asante sana over
Mfano Jana Mimi Niko safarini kaniomba kiasi kidogo cha fedha na Mimi anajua sina ila nikajiongeza sana kwa zaidi ya jitihada kwa kukopa nikamtumia lakini jibu akilonipa ni asante over

Mpaka Leo nimeapa hata akiniambia Nina shida kama sina sihangaiki wala kusumbua akili ya kutafuta coz naona kama hana shkrani
NB huyu ni MKE wangu na tuna WATOTO watatu sasa nashindwa elewa ndo wanawake WOTE wako hivi au ni huyu tu
 
Sijui msimamo wako kidini, ila sisi wakristo tuliambiwa tuishi na wake zetu kwa akili, kama hujaridhika na lolote mwambie, asiposkia mwambie tena hadi ajirekebishe.

Mwambie kwa mifano kuwa utafurahi na kupata nguvu kama angeonesha kutambua na kuthamini juhudi zako. SIMPLE AS THAT.

GRACIAS.
 
Eti mwanamke anakuimbia kila siku nakupenda kisa mna long relationship such as 10yrs then badae mnakuwa mke na mume sasa huyu mwanamke anakuambia every day anakupenda na kweli kwenye ANAPENDA

NASEMA hivyo kwamba anapenda kweli according na kutosikia wala kusikia siku aliyocheat na pia tukitofautiana anakuwa kama anapata kichaa yaani ni kuzimia kwenda MBELE na siku hiyo atalia na atajifungia ndani hata siku mbili akiomba msamaha kwa makosa yaliyotokea ukimsamehe anafurahi balaaa

Makosa yenyewe yeye ndo unakuta anayafanya kuwa makubwa then akiwa anaomba msamaha utamsikia kwanini nifanye hivyi Mimi (yeye) ni mjinga nisamehe tu sitorudia TENA kukuudhi basi unamsamehe

Shida sasa ni pale anaposhindwa kuonyesha UPENDO wake kwa vitendo yaani unamletea Zawadi nzuri umejitahidi kununua kwa gharama utasikia atakuambia tu asante sana over
Mfano Jana Mimi Niko safarini kaniomba kiasi kidogo cha fedha na Mimi anajua sina ila nikajiongeza sana kwa zaidi ya jitihada kwa kukopa nikamtumia lakini jibu akilonipa ni asante over

Mpaka Leo nimeapa hata akiniambia Nina shida kama sina sihangaiki wala kusumbua akili ya kutafuta coz naona kama hana shkrani
NB huyu ni MKE wangu na tuna WATOTO watatu sasa nashindwa elewa ndo wanawake WOTE wako hivi au ni huyu tu

Nme quote kwa faida ya wengn
 
Kama nakosea nisahihishwe
Mkuu shukrani zingine ungepewa ukiisharejea safari yako.
Tena shukuru huyo mkeo mwenye nidhamu ya kutambua mchango wako na kushukuru.
Kuna wanawake wengine hapo, badala ya kusema 'asante over', angelipokea bila hata ahsante, na kukuuliza, 'unanitumiaje mimi hiyo hela ya nyanya?'
 
Back
Top Bottom