kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,764
- 3,940
Sawa mkuu,itakuwa nimekupata vyema tu.unadhani povu mkuu..??hapana nimejitahd kumsaidia..kuna mambo hata uyafatilie vip hayakusaidii kitu maishan mwako...!kuna wadada wanapenda showoff sasa huyu inaonekana hapendi showoff..kwann asumbuke na wasopenda hayo mambo wapo kibwena,jus ushauri tu!
Sawa mkuu,itakuwa nimekupata vyema tu.
Huu uzi utakuwa na maneno makali sana,na kshfa na matusi na mapovu yote,saiv wamelala ngoja waamke dadeki..umesema ukweli,lakini ukweli usio na faida yeyote,maana mwisho wa siku maisha hayana kanuni,kila mtu naishi vile inavyompendeza,kikubwa asivunje sheria
Juzi nimekutana na katoto kazuuuri,status yake insta matata sana. Nikachukua namba fasta,woga ukanijaa halafu naogopa sana kukataliwa. Baada ya dakika 2 tu nikaombwa hela. Nikamchana nimeuwawa. Kakaniambia hata buku 5 nipe tu. Vitoto vina maisha magumu sana japo wanapendeza balaa. Bila shaka wanauza vitumbua vyao
Utamdai vipi mkuu. Ukimganda sana anakusemea unamtaka. Wake za watu wakiomba laki unamwambia nina 20 hii nitakupa sikukopeshiAhahahahaha.
Mimi mke wa mtu anataka nimkopeshe laki moja. Hivi kwa unavyohisi ananitakia mema kweli?
Huu uzi utakuwa na maneno makali sana,na kshfa na matusi na mapovu yote,saiv wamelala ngoja waamke dadeki..umesema ukweli,lakini ukweli usio na faida yeyote,maana mwisho wa siku maisha hayana kanuni,kila mtu naishi vile inavyompendeza,kikubwa asivunje sheria
Utamdai vipi mkuu. Ukimganda sana anakusemea unamtaka. Wake za watu wakiomba laki unamwambia nina 20 hii nitakupa sikukopeshi
FactWanawake nawasalimu bila kuwasahau Wanaume wenzangu!
Vibinti vingi mjini na baadhi ya wamama ukikutana nao aidha sokoni, kwenye sherehe, chuo au mahali pengine unaweza ukahisi ni matawi ya juu. Anamiliki simu ambayo wewe Mwanaume wa kawaida hujawahi kumiliki. Anajitutumua kula chakula cha hali ya juu zaidi ya uwezo wake n.k.
Mdada mmoja ambaye najua analipwa laki kama 4 hivi nilimshangaa kumwona anamiliki simu ya laki 4.5. Kwakuwa namjua kuwa si kahaba nikamuuliza umepata wapi fedha ya kununulia hii simu akaniambia kuwa alikuwa anatunza fedha kidogokidogo kwa miezi kama 3 ndo akainunua.
Nilimwonea huruma sana. Utunze fedha kwa miezi ili ununue simu ambayo hauitumii kibiashara!!!
Mwingine alipolipwa fedha za upatu(mchezo) kaenda kununua simu karibu fedha yote. Hii ni tamaa.
Samahani kwa dongo hili. Najua mtasema kila mmoja na kipaumbele chake ila lazima tuishi sawasawa na kipato chetu. Unacheza mchezo ili ununue simu!!!!
Mkizoeana kidogo tu anaanza kukuletea shida zake, nani aliowaambia kuwa sisi Wanaume hatuna shida zetu? Tunazo ila tunavumilia na kutazama vipaumbele vyenye tija kwanza.
hahahaha hatariii
mabinti wengi hawaishi uhalisia wao zama hiziUnaweza ukasema huyu kama si mtoto wa mfanyabiashara mkubwa basi ni mtoto wa balozi wa Qatar kumbe ni mjumbe wa nyumba 10