Wanawake wengi wamejawa na tamaa, ukikutana nao unaweza kuwadhani wametoka familia za kitajiri kumbe ni wakuungaunga tu

Huu uzi utakuwa na maneno makali sana,na kshfa na matusi na mapovu yote,saiv wamelala ngoja waamke dadeki..umesema ukweli,lakini ukweli usio na faida yeyote,maana mwisho wa siku maisha hayana kanuni,kila mtu naishi vile inavyompendeza,kikubwa asivunje sheria


yaan hata kama ni kweli hayamsaidiii mtu kitu..mbona na wanaume wanapenda kufake san maisha?haisaidii kitu.huu ushauri bora uutoe kwa ndg au rafiki wa karibu...!!nadhan ndo inafaa zaidi!ukijifunza kuwa positive maisha ni mepesi sana!
 
Ahahahahaha.
Mimi mke wa mtu anataka nimkopeshe laki moja. Hivi kwa unavyohisi ananitakia mema kweli?
Juzi nimekutana na katoto kazuuuri,status yake insta matata sana. Nikachukua namba fasta,woga ukanijaa halafu naogopa sana kukataliwa. Baada ya dakika 2 tu nikaombwa hela. Nikamchana nimeuwawa. Kakaniambia hata buku 5 nipe tu. Vitoto vina maisha magumu sana japo wanapendeza balaa. Bila shaka wanauza vitumbua vyao
 
Mimi zamani nilikuwa naogopa sana kupingwa nikianzisha uzi ila sasa nimekua ninachojali watu wasome ujumbe sindano iingie poa. Hata kama watu hawaoni pahali pa kulike au Kukoment ok
Huu uzi utakuwa na maneno makali sana,na kshfa na matusi na mapovu yote,saiv wamelala ngoja waamke dadeki..umesema ukweli,lakini ukweli usio na faida yeyote,maana mwisho wa siku maisha hayana kanuni,kila mtu naishi vile inavyompendeza,kikubwa asivunje sheria
 
Wanawake nawasalimu bila kuwasahau Wanaume wenzangu!

Vibinti vingi mjini na baadhi ya wamama ukikutana nao aidha sokoni, kwenye sherehe, chuo au mahali pengine unaweza ukahisi ni matawi ya juu. Anamiliki simu ambayo wewe Mwanaume wa kawaida hujawahi kumiliki. Anajitutumua kula chakula cha hali ya juu zaidi ya uwezo wake n.k.

Mdada mmoja ambaye najua analipwa laki kama 4 hivi nilimshangaa kumwona anamiliki simu ya laki 4.5. Kwakuwa namjua kuwa si kahaba nikamuuliza umepata wapi fedha ya kununulia hii simu akaniambia kuwa alikuwa anatunza fedha kidogokidogo kwa miezi kama 3 ndo akainunua.

Nilimwonea huruma sana. Utunze fedha kwa miezi ili ununue simu ambayo hauitumii kibiashara!!!
Mwingine alipolipwa fedha za upatu(mchezo) kaenda kununua simu karibu fedha yote. Hii ni tamaa.

Samahani kwa dongo hili. Najua mtasema kila mmoja na kipaumbele chake ila lazima tuishi sawasawa na kipato chetu. Unacheza mchezo ili ununue simu!!!!

Mkizoeana kidogo tu anaanza kukuletea shida zake, nani aliowaambia kuwa sisi Wanaume hatuna shida zetu? Tunazo ila tunavumilia na kutazama vipaumbele vyenye tija kwanza.
Fact
Hao wanaitwa slay queens

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom