Mkuu mbona wewe ndio unaonekana uko na tatizo!
Katangaza nafasi ukaitaka,ukaambiwa uende PM ukakosa ujasiri mdada akaja mwenyewe.
Ukaambiwa utume picha,Na wewe ukatuma bila hiyana.
Kama ukua tayari kwanini usingepoteza alivyokuja DM?
Sent using
Jamii Forums mobile app