EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,702
Huyo wa kusubiri mwaka ukiwapata wawili nipe mmojaBora wanaoexpose mapema vishida vya buku mbili tatu. Kuna mwingine anakaushaaaa mnafika Mbali Mbali kidogo ndo anaanza baada ya mwaka. Mizinga atakayokupiga utatamani hawa wa buku buku.
Ss mbna mmoja akiombwaa anaona hii namna ganMwanamke anataka kupata pesa faster nakirahisi = Mwanaume anataka kupata sex faster na kirahisi.
Ndio maisha lakini
Huwa najiuliza ni dunia nzima au labda ni huku kwetu ambapo hali ya uchumi ni dhoofu sana?Na ukiwa mwepesi kutoa anatangaza kwa shoga zake nimelipata buzi hilo linachunika hatariiii, kiufupi bwege flan hivi limbukeni,
Lol, binaadam sie mwenye kuridhika.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Kila mmoja anataka deal la kumfaidisha zaidi sasa ndugu yako kashangazwa mapema kabla hajashangaza. Ndio kinachomsumbuaSs mbna mmoja akiombwaa anaona hii namna gan
Sasa basi muhandsome tushakujua
Ahahaha akome kwakweliKila mmoja anataka deal la kumfaidisha zaidi sasa ndugu yako kashangazwa mapema kabla hajashangaza. Ndio kinachomsumbua
Si umesema lkn ww ni hendisamu pale juu
Si umesema lkn ww ni hendisamu pale juu
Kabla hujamfata anaonekana wa kishua na karidhika sana.Wanawake wa kileo wengi ukimtongoza leo na anakuambia shida hapo hapo. Na wengi hawaolewi kwa visa hivi. Fahamiana na mtu kwanza na mengine yataendelea.Wengi mnaingia mtegoni kwa ku-expose matatizo yenu mapema.
Povu ruksa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan mtu akihitaji mchumba anakua hana chaguzi yaan yoyote yeye amzoe? Amekwambia umemvutia kosa lake liko wapi?
Lol, mbona 'endsam'
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Mmmh mbona kama umeandika katangazo hivi πππJuzi kuna mmoja ametangaza anatafuta mchumba, nikamwambia mm akaniambia njoo dm, sikuenda, akanitext dm, akaniambia nimtumie picha, nikamtumia, akaniambia kumetokea watu zaidi ya 20 lakini ww ndie nimekupa nafasi ya kwanza coz unanivutia, nilishtuka kwanza, nikajiuliza akilini mwangu huyu anatafuta mchumba ama handsome? Hapohapo ktk akili yngu nikamshusha thamani, akaniambia tena mm sipendi midevu nataka uyakate, nikamwambia ndevu zangu nazipenda kuliko kitu chochote, nikampotezea akaendelea kunitafuta, mwisho nilipomwambia ukweli kama niko nje ya nchi aliandika ukurasa wa masms mpka nikalogoff, yaani hakutaka tena mbwembwe, anasema ivyoivyo ananitaka
Nikablock kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja nimemtongoza siku ya kwanza, siku ya pili akalia shida ya 100K nikasema nisimpe, baadae tumechat akanikumbusha tena nikamuonea huruma nikampa 50KWanawake wa kileo wengi ukimtongoza leo na anakuambia shida hapo hapo. Na wengi hawaolewi kwa visa hivi. Fahamiana na mtu kwanza na mengine yataendelea.Wengi mnaingia mtegoni kwa ku-expose matatizo yenu mapema.
Povu ruksa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh mbona kama umeandika katangazo hivi
Juzi kuna mmoja ametangaza anatafuta mchumba, nikamwambia mm akaniambia njoo dm, sikuenda, akanitext dm, akaniambia nimtumie picha, nikamtumia, akaniambia kumetokea watu zaidi ya 20 lakini ww ndie nimekupa nafasi ya kwanza coz unanivutia, nilishtuka kwanza, nikajiuliza akilini mwangu huyu anatafuta mchumba ama handsome? Hapohapo ktk akili yngu nikamshusha thamani, akaniambia tena mm sipendi midevu nataka uyakate, nikamwambia ndevu zangu nazipenda kuliko kitu chochote, nikampotezea akaendelea kunitafuta, mwisho nilipomwambia ukweli kama niko nje ya nchi aliandika ukurasa wa masms mpka nikalogoff, yaani hakutaka tena mbwembwe, anasema ivyoivyo ananitaka
Nikablock kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
π€£ π€£ π€£ π€£ atongoze akina nani sasa. Na atajuaje yupi mfanyabiashara na yupi sio?Acha kutongoza wafanya biashara
Sent using My COVID-19