Wanawake wengi hawapendi waume zao

Wanawake wengi hawapendi waume zao

Clayton Paul

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
2,129
Reaction score
4,393
FB_IMG_17409240014671656.jpg
NDIYO:
Sio uongo wanawake wengi hawapendi waliowaoa Bali wanafurahia tu kitendo Cha kuolewa na kugawana Mali.

Kwa mwendo huu matatizo hayawezi kuisha.
Angalia tu mwenyewe we angalia tu:

✓ Pep Guradiola alimpoteza mke wake kwa sababu alilalamika kuwa alitumia muda mwingi na soka, soka lile lile lililompatia mamilioni.

✓ Roberto Carlos mali zake zote zimeenda kwa mke Yeye kabaki kulala inje Kama Mlinzi wa Santiago Bernabeu baada ya mke kufanya wanayofanya wezi wengine.
Ukumbuke huyu Ni make wa zaidi ya Miaka 20 na Wana watoto pia.

✓ Kaka aliachwa na mke wake kwa sababu alilalamika kuwa alikuwa nice man sana kwake. Katika ndoa yao yote, hakukuwa na mchezo wa kuigiza. Kaka hakuwa akiibua mabishano, hakuwa akidanganya na alikuwa akimpa umakini. Alikuwa akienda kwa likizo zote alizotaka na marafiki. Kwa sababu ya kuwa mkarimu sana, Kaka alimpoteza mke wake.

✓ De Bruyne alipoteza mpenzi wake kwa Courtois kwa sababu Courtois alimpikia mara moja. De Bruyne alimpa kila kitu na kulipia kila likizo aliyotaka. Likizo moja aliyoomba kutoka kwake kwenda Uhispania ni wakati alipompoteza kwa sababu ya Ufisi wake na Courtois .

✓ Akiwa Tajiri zaidi ya Icardi wakati huo, Lopez alipoteza Wanda kwa Icardi ambaye alimnunulia iPad. Miaka kadhaa baadaye, Wanda akamsaliti Icardi akaliwa na, Balde.

✓ Stergen alimpoteza mke wake kwa sababu mke alikuwa akimcheat na mkufunzi ambaye alikuwa akimlipa kumfundisha. Mke Alidai mkufunzi wa binafsi kwaajili ya umbo la mwili wake.
Mke ameondoka kipindi Testergen anapambana na sintofahamu yake ya kuwa nje ya uwanja na ni kipindi alimuhitaji zaidi kuoiko nyakati zote ila huyoo kaishia kwa basha ake.

Udugu Unatakiwa Kuwa Makini Huko Nje, Bado Tuna Mamilioni ya Delila Wanaoishi Kati Yetu
 
Uhalisia upo hivyo, wanawake wengi huwa wanakubali kuolewa kwa kuwa ndiye mwanaume aliyejitokeza kutoka kumuoa na endapo akikataa hana uhakika wa kuja mwingine aliye serious kumuoa ( hapa ndio wanawake wengi wapo bila kujalisha mwanaume tajiri au maskini)

Pia Kuna wale wa kupenda hela/mali, ukiwa na hela ni ngumu kumpata ke anayekupenda kwa dhati maana wengi huzuga
 
Mwanaume anaweza akamla ke asiyempenda kwa ajili ya genye ila hawezi kumuoa au kuishi naye

Mwanamke anaweza kuliwa na mwanaume asiyempenda na akaishi naye hata miaka 20 hivyohivyo
 
Back
Top Bottom