Tareek Azeez JF-Expert Member Joined Mar 29, 2014 Posts 13,001 Reaction score 32,579 Nov 17, 2022 #21 Demu Ana shape Kama Wenger Nani anataka? Hv vijitu vyembamba Huwa na roho mbaya na ngumu Sana. Vina chuki na Gubu. Yani wapo kama sumu ya panya.
Demu Ana shape Kama Wenger Nani anataka? Hv vijitu vyembamba Huwa na roho mbaya na ngumu Sana. Vina chuki na Gubu. Yani wapo kama sumu ya panya.
Yofav JF-Expert Member Joined Mar 12, 2021 Posts 4,309 Reaction score 7,857 Nov 17, 2022 #22 Upumbavu tu,
SMART GHOST JF-Expert Member Joined Feb 3, 2020 Posts 2,657 Reaction score 10,411 Nov 17, 2022 #23 Mimi mniue tu, ila mademu wembamba a.k.a English figure, ndio ugonjwa wangu! Matako makubwa ni kwaajili ya walevi!
Mimi mniue tu, ila mademu wembamba a.k.a English figure, ndio ugonjwa wangu! Matako makubwa ni kwaajili ya walevi!
jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 21,699 Reaction score 41,862 Nov 18, 2022 #24 SMART GHOST said: Mimi mniue tu, ila mademu wembamba a.k.a English figure, ndio ugonjwa wangu! Matako makubwa ni kwaajili ya walevi! Click to expand... Huna helana hujiamini.. #MaendeleoHayanaChama
SMART GHOST said: Mimi mniue tu, ila mademu wembamba a.k.a English figure, ndio ugonjwa wangu! Matako makubwa ni kwaajili ya walevi! Click to expand... Huna helana hujiamini.. #MaendeleoHayanaChama
M Matawi ya juu JF-Expert Member Joined Mar 5, 2019 Posts 6,294 Reaction score 11,732 Nov 18, 2022 #25 Sio kila mtu anapenda mizigo mikubwa/matako, wana thamani kubwa sana kwa tusiopenda mizigo mikubwa mikubwa
Sio kila mtu anapenda mizigo mikubwa/matako, wana thamani kubwa sana kwa tusiopenda mizigo mikubwa mikubwa
Lovelovie JF-Expert Member Joined Oct 2, 2021 Posts 12,973 Reaction score 26,963 Nov 18, 2022 #26 Chizi Maarifa said: Hapa uwe na pesa tu. Ndo Kila Kitu. Click to expand... Asante kwa kutoa muongozo mkuu
Chizi Maarifa said: Hapa uwe na pesa tu. Ndo Kila Kitu. Click to expand... Asante kwa kutoa muongozo mkuu